- Thread starter
- #41
Ni kweli kujitafutia umaarufu wa kisiasa, Slaa alishindwa na akaona wenzake wanafaidi na yeye akalazimisha chama chake kimlipe kama wabunge. Hakuna kitu hapo, CHAKushindwa (CHADEMA) wasiwalaghai watanzania bana
usifanye ushabiki weka maslahi ya taifa mbele ndo uongee au na we umo ndo ao!