Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Jana wakati nafuatilia tukio zima la ujambazi katika Bank ya NMB tawi la Temeke {katika Luninga ITV nikiwa Bar} Kuna kauli za baadhi ya viongozi na watendaji wetu ziliamsha manung'uniko kwa baadhi ya member sehemu niliyo kuwepo pale. Nitanukuu
Waziri Masha alitamka ".....ninafrahi kuona askari wangu wamefika eneo la tukio...."
Kwa hiyo amefrahi lakini hao askari wake wamefanya nini?
Je toka eneo la tukio na eneo la kipolisi mkoa wa Chang'ombe kuna umbali gani mpaka hao askari wake wakatumia dk 15 kufika katika eneo la tukio?
Alafu akaja Kamanda Kova nae sijui alikurupuka au ulimi uliteleza au vp sikuelewa kwakweli namnukuu ".......tunao askari wa miguu ya magari...tumejidhatiti tutawakamata....."
Hawa askari wa miguu ya magari ni akina nani? Au ndo yale yale ya kukariri?
Waziri Masha alitamka ".....ninafrahi kuona askari wangu wamefika eneo la tukio...."
Kwa hiyo amefrahi lakini hao askari wake wamefanya nini?
Je toka eneo la tukio na eneo la kipolisi mkoa wa Chang'ombe kuna umbali gani mpaka hao askari wake wakatumia dk 15 kufika katika eneo la tukio?
Alafu akaja Kamanda Kova nae sijui alikurupuka au ulimi uliteleza au vp sikuelewa kwakweli namnukuu ".......tunao askari wa miguu ya magari...tumejidhatiti tutawakamata....."
Hawa askari wa miguu ya magari ni akina nani? Au ndo yale yale ya kukariri?