JACADUOGO2.
JF-Expert Member
- Dec 13, 2010
- 930
- 217
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Anna Makinda nahisi amechanganyikiwa baada ya kupewa kazi hiyo ya uspika inayoonekana wazi kumshinda. Sasa amebaki tu kuropoka na kukurupuka kwa maneno yasiyokuwa na maelezo ya kueleweka!
1. Nusu ya Wabunge wanataka kujiuzulu kwa sababu ya ufinyu wa posho na mshahara!
2. Posho imeshaidhinishwa na rais na tayari imeanza kutolewa!
3. Kushindwa kuruhusu Bunge kujadili masuala nyeti kama mgomo wa madaktari nk!
4. Suala la Jairo kuishia hewani bila maelezo ya kueleweka!
5. Bunge kuwa na vurugu nyingi kuliko mabunge yote yaliyopita!
6. Sitagombea tena ubunge 2015 kwa sababu posho haitoshi!
7............! Nk.
1. Nusu ya Wabunge wanataka kujiuzulu kwa sababu ya ufinyu wa posho na mshahara!
2. Posho imeshaidhinishwa na rais na tayari imeanza kutolewa!
3. Kushindwa kuruhusu Bunge kujadili masuala nyeti kama mgomo wa madaktari nk!
4. Suala la Jairo kuishia hewani bila maelezo ya kueleweka!
5. Bunge kuwa na vurugu nyingi kuliko mabunge yote yaliyopita!
6. Sitagombea tena ubunge 2015 kwa sababu posho haitoshi!
7............! Nk.