Kauli tata ya Rais Magufuli kuhusu chuo cha N.I.T

SODOKA

JF-Expert Member
Sep 15, 2012
1,658
722
wana JF ..

kuna hii clip inasambaa sana mitandaoni kuhusu kauli ya rais wetu kuhusu kuwepo kwa vyuo vikuu ndani ya nchi yetu,,,,ametaja baadhi ya vyuo ambayo hapo awali vilikuwa vinatoa elimu ya diploma yaani vilianzishwa kama taasisi (INSTITUTE) ,,amejaribu kutumia lugha flani hivi ambayo mimi sijaielewa imeniacha mdomo wazi ...

wadau waliochaguliwa NIT msijenge chuki na mimi na wale wote mliopita NIT plz msinirushie matusi ,,sio kosa langu kuleta hii mada hapa ila nahitaji tushee mawazo....binafsi naelewa NIT ni taasisi ya taifa ya kutoa elimu ya usafirishaji japo inaniwia vigumu kuamini kuwa ni chuo kikuu ila kinatoa degree na kimesajiliwa kutoa degree kinatambulika licha ya kuwepo kwa taasisi nyingine kama IFM n.k

kumradhi...ebu sikiliza clip hii hapa chini halafu ulete mrejesho.......
 

Attachments

  • KAULI TATA.mp4
    2 MB · Views: 188
watanzania acheni ushamba, sio lazima sehemu iitwe chuo kikuu ndio iruhusiwe kutoa degree, Kama kasema hivyo basi kateleza
 
wana JF ..

kuna hii clip inasambaa sana mitandaoni kuhusu kauli ya rais wetu kuhusu kuwepo kwa vyuo vikuu ndani ya nchi yetu,,,,ametaja baadhi ya vyuo ambayo hapo awali vilikuwa vinatoa elimu ya diploma yaani vilianzishwa kama taasisi (INSTITUTE) ,,amejaribu kutumia lugha flani hivi ambayo mimi sijaielewa imeniacha mdomo wazi ...

wadau waliochaguliwa NIT msijenge chuki na mimi na wale wote mliopita NIT plz msinirushie matusi ,,sio kosa langu kuleta hii mada hapa ila nahitaji tushee mawazo....binafsi naelewa NIT ni taasisi ya taifa ya kutoa elimu ya usafirishaji japo inaniwia vigumu kuamini kuwa ni chuo kikuu ila kinatoa degree na kimesajiliwa kutoa degree kinatambulika licha ya kuwepo kwa taasisi nyingine kama IFM n.k

kumradhi...ebu sikiliza clip hii hapa chini halafu ulete mrejesho.......
Mimi hapo sijaona kama mkuu ameongea kitu kibaya au cha dharau. ..jaribuni kuisikiliza kwa makini then mutasmini alichoongea
 
Najua hata taasisi inaweza toa degree nzuri tuu sijui Mh Rais kitu gani kinamtatiza hapa kuna taasisi bora sana zinatoa degree mfano DIT, Massachutes (marekani) n.k
 
mtoa mada uchunguzwe upeo wa kufikili
jana niliangalia claudz tv waliiludia hii speech na alichoongea kinatija pia na akasema vyuo vya taasisi vinaitwa vyuo vikuu mfano akataja MBEYA INSTITUTE OF TECHNOLOGY(MIST)
SASA KINAITWA MBEYA UNIVERSITY OF TECHNOLOGY(MUST) b
baada ya hapo ndo kaamia kwa hao NIT
chakushangaza NIT bado kinaitwa hvyo hvyo NIT na sio university kama cha MIST
kwahiyo wewe ndo ulichokisikia pekee bali cha mbeya hujasikia?
clip iko cutted hiyo wala haijakamilika
siku nyingine toa habari kamili na sio unatoa nusu habari kwan hapo alikua akizungumzia vyuo vinavyotoa elimu ya kati
 
mtoa mada uchunguzwe upeo wa kufikili
jana niliangalia claudz tv waliiludia hii speech na alichoongea kinatija pia na akasema vyuo vya taasisi vinaitwa vyuo vikuu mfano akataja MBEYA INSTITUTE OF TECHNOLOGY(MIST)
SASA KINAITWA MBEYA UNIVERSITY OF TECHNOLOGY(MUST) b
baada ya hapo ndo kaamia kwa hao NIT
chakushangaza NIT bado kinaitwa hvyo hvyo NIT na sio university kama cha MIST
kwahiyo wewe ndo ulichokisikia pekee bali cha mbeya hujasikia?
clip iko cutted hiyo wala haijakamilika
siku nyingine toa habari kamili na sio unatoa nusu habari kwan hapo alikua akizungumzia vyuo vinavyotoa elimu ya kati
Noo! Nuenda wewe ndo hujaelewa. Rais anamaanisha kwamba kuna baadhi ya vyuo vilivyokua vikizalisha wataalam wa kati wimebadilishwa! Nanukuu::

"Hata chuo cha usafirishaji nacho sikuhizi ni chuo kikuu, (vicheko) dereva wangu amesomea pale. Nacho kinaitwa.... Mimi nasema kwa uwazi siogopi"

Kwa lugha nyingine nahisi raisi alipenda hivi vyuo vya kati visipewe hadhi ya university!!
 
NIT is a non-university higher learning institution. Tatizo liko wapi? Vyuo vinavyofanana na NIT ni kama TIA, CBE, IFM; na ustawi wa jamii pale Bamaga. Vipo kisheria; na vinatoa degree kisheria.

Magu naye anazingua bhana.
 
Huu ni muendelezo wa Raisi kuhusu utitiri wa vyuo vikuu Tanzania (alianzia pale UDSM). Sasa amegeukia vyuo vya kati kuruhusiwa kutoa degree na inavyo onekana yeye anaona haikuwa sawa kwa vyuo vingi kuingia huko. Ni kweli siyo vyuo vikuu pekee vinavyo toa degree lakini waweza kujiuliza hivi kila chuo cha kati kinachotaka kutoa degree kiruhusiwe? Hapa kuna mgogangano wa sera kati ya serikali ilipita na hii ya sasa hivyo sitashangaa hili nalo likavaliwa njuga tukaona mabadiliko upande huo. Je elimu ya juu imeathiriwa vipi na madiliko haya? Je kuna tofauti kati ya degree za vyuo vya kati ukilinganisha na zile za vyuo vikuu? Je kuna balance kati ya uzalishaji wa wataalamu wa kati ukilinganisha na wale wa degree? Haya yote yanatakiwa kuwa wazi katika sera na serikali ziheshimu sera zilizokuwapo. Tuna tatizo moja nalo ni kuwa na Raisi na Mawaziri wenye nguvu (kikatiba) inayowezesha matamko yao kuwa sera bila kuchujwa au kupitia tafakuri za kitaalamu. Mfano mzuri ni yale ya UDOM, A level GPA/Division na mengineyo.
 
Back
Top Bottom