GY
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,279
- 126
Nimekaa na kuanza kutafakari, ivi kauli mbiu za uchaguzi mwaka huu 2010 zitakuwaje
Nikapata japo hizi mbili za CCJ na CCM
CCJ (ikiwa watapata usajili): "Wamebana wameachia, mwanga mpya umewadia"
CCM: "kwa ari ileile, kasi ilele na nguvu ileile, Tanzania yasonga mbele"
and the list continues..........
Nikapata japo hizi mbili za CCJ na CCM
CCJ (ikiwa watapata usajili): "Wamebana wameachia, mwanga mpya umewadia"
CCM: "kwa ari ileile, kasi ilele na nguvu ileile, Tanzania yasonga mbele"
and the list continues..........