Kauli mbiu ya Lowassa kugombea ubunge 2010

Lowasa jeuri yake itaisha pale mtu ambaye anadai 'hawakukutana naye barabarani' atakapolazimika kutoka 'white house' mwaka huu na kuingia sura nyingine atakayekiita 'kijiko,' 'kijiko,' 'kisu,' 'kisu,' nk!

Haya ndiyo naombi yetu kwa Mungu
 
Watanzania ni watu wa ajabu sana,wasahau haraka mno hata mambo yatakayowaumiza kwa miaka mingi.
Kwanza hakuna ambapo Mwakyembe alitaja kuhusu kujiuzulu,EL alishauriwa apime na achukue hatua muafaka,angeweza hata kuomba msamaha,HAKUFANYA.
Report ile alipewa Rais,Waziru Mkuu na waziri mkuu kivuli kabla haijasomwa hivyo alijua fika kilichokuwemo na naamini walijadiliana.
Msabaha anayo siri kubwa na angeweza kujitutumua na kuitapika basi JK na EL wangeumbuka mno.
EL alifanya hila na RA na walijua wanchokifanya,hastahili huruma.
Pia amewasaidia sana jamii ya wafugaji ku acquire land na kuwasogeza wakulima ukingoni,kama huamini nenda Kilosa.
Binafsi kama binadamu nampenda ila ubinafsi na tamma ya kulimbikiza mali imemjaa mno.
 
mie watanzania wengine siwaeleqi kabisa


kuwatumikia kama huna moyo wa chuma basi inakua kazi

pamoja na mapungufu yake huyu mkuu, amejitahidi sana katika kuleta UFANISI SERIKALINI, pia kusimamia kwa dhati maendeleo ya taifa lake

suala la ardhi linajulikana vipi alilisimamia, suala la uwajibikaji serikalini vipi alilishughulikia, suali la elimu vp alilishughulikia, suali la maji hadi sasa ndugu zetu kule wanafaidi vp alilishughulikia

kwa kweli kuna mengi ambayo ameyafanya na kuwatumikia wananchi wenzake

ila binaadamu wengine wanaendeshwa na hisia za kichama zaidi kuliko utaifa

mimi nnamkubali sana, ni miongoni mw ma PM waliothubutu, ingawa maamuzi yake mengine sasa yanamgharimu
unamkubali kwa sababu wewe pia ni fisadi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom