Binti Sayuni
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 367
- 52
Lowasa jeuri yake itaisha pale mtu ambaye anadai 'hawakukutana naye barabarani' atakapolazimika kutoka 'white house' mwaka huu na kuingia sura nyingine atakayekiita 'kijiko,' 'kijiko,' 'kisu,' 'kisu,' nk!
Haya ndiyo naombi yetu kwa Mungu