Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,597
- 5,788
Mkuu, kama CDM mnapendwa na wananchi kwa nini mpate wabunge 23 tu katika wabunge 239? Nijibu mkuu wangu
watakwambia waliibiwa kura. Hakuna jibu lingine.
Mkuu, kama CDM mnapendwa na wananchi kwa nini mpate wabunge 23 tu katika wabunge 239? Nijibu mkuu wangu
Mkuu naomba unitajie majimbo ya uchaguzi walioshinda ubunge CDM
Sabodo, ametenga Sh2.5 bilioni kwa ajili ya kuchimba visima..
Visima vilefu na vifupi 700 katika maeneo ya ukame, huku visima 200 kati ya hivyo vikielekezwa kwenye majimbo 23 ya CDM..
Sasa hivyo vingine sijui utajenga wewe na uwongo wako.
Turudi kwenye mada yetu..unaweza kuwa na nguvu umma na wabunge 23?
watakwambia waliibiwa kura. Hakuna jibu lingine.
kamuulize anaekulipa kuleta utumbo hapa jamvini.Unajifanya unajua habari za visima vya chadema kuliko wenye chama.Pole we!
Watanzania hawana muda wa kufikiria, wamewapa dhamana watu wachache dhamana ya kuwafikiria kwa niaba.
Washabiki wengi wa Chadema hawajui hata maana ya nguvu ya umma.
Yaani wewe unaongea uwongo wako tukikujibu ndio tumetumwa? jF sio sehemu ya porojo njoo na facts..kabla ujamwaga upupu wako.
Kwanza hivyo visima 700 sio vya CDM kama unavyodhani vinachimbwa kwa pesa ya Sabodo
Wana JF.
Mpaka sasa hivi sijajua itikadi na falsafa ya CDM. ni chama cha siasa kisicho na nadharia inayoelezeka wazi..
Ni sawa kabisa ni shirika lisilo la kiserikali NGO ninachoweza kusema viongozi wa CDM waache kupotosha wanachi kuwa CDM ni nguvu ya Umma.
CDM ina wabunge wa kuchaguliwa 23 tu kati ya wabunge 239. Bara 189 na Visiwani 50 Pemba 18 Unguja 32..
Sasa hii kauli mbiu ya CDM kuwa ni chama cha nguvu ya Umma inatoka wapi?
Tumeona maandamano ya CDM yasiokuwa na tija kwa taifa zaidi ya kugawana posho za maandamano kimsingi ni ufujaji pesa zetu wananchi ruzuku..
Viongozi wa CDM msiwapotoshe wananchi huwezi kuchukuwa nchi na wabunge 23 ukiwa na uwezo mkubwa wa kufikiri utaona huu ni umbumbu wa fikra..
Cha kushangaza zaidi CDM wanaenda mbali zaidi na kusema walishinda kiti cha urais, utashinda vipi urais na wabunge 23
Jibu swali? Nini maana ya umma na criteria gani inatumika ku determine nguvu ya umma?
Nguvu ya umma wanayo CDM,wanachotakiwa ni kui direct kwenye sanduku la kura basi.
Tatizo kubwa lipo kwenye utawala kudhibiti nguvu hiyo ya umma isilete mabadiliko ya kweli.
Na ndiyo maana unakuwa na balls za kufananisha wapiga kura wachache ambao hawafikii hata nusu ya wananchi wote? vs umaa wenyewe ambao unawafunika hao waliopiga kura kwa ujumla wao?
Ni ukweli umma haujaweza kutumia nguvu yao ipasavyo ie ku exercise their right to vote,and vote right!
Na hiyo ndo kazi ya chadema...Kuhakikisha wanaipata hiyo positive energy ya kuwabandua magamba!
KIMENUKA BROTHER HUNA TIJA KWA WANANCHI POLE SANA. Kauli ya nguvu ya uma ni dawa ya wachakachuaji wa uchaguzi wa magamba. Hata mkichakachua nyoyo za watz zipo CDM. Kunja ngumi---Nikisema Peoples--piga juu sema--Power!Wana JF.
Mpaka sasa hivi sijajua itikadi na falsafa ya CDM. ni chama cha siasa kisicho na nadharia inayoelezeka wazi..
Ni sawa kabisa ni shirika lisilo la kiserikali NGO ninachoweza kusema viongozi wa CDM waache kupotosha wanachi kuwa CDM ni nguvu ya Umma.
CDM ina wabunge wa kuchaguliwa 23 tu kati ya wabunge 239. Bara 189 na Visiwani 50 Pemba 18 Unguja 32..
Sasa hii kauli mbiu ya CDM kuwa ni chama cha nguvu ya Umma inatoka wapi?
Tumeona maandamano ya CDM yasiokuwa na tija kwa taifa zaidi ya kugawana posho za maandamano kimsingi ni ufujaji pesa zetu wananchi ruzuku..
Viongozi wa CDM msiwapotoshe wananchi huwezi kuchukuwa nchi na wabunge 23 ukiwa na uwezo mkubwa wa kufikiri utaona huu ni umbumbu wa fikra..
Cha kushangaza zaidi CDM wanaenda mbali zaidi na kusema walishinda kiti cha urais, utashinda vipi urais na wabunge 23
Wana JF.
Mpaka sasa hivi sijajua itikadi na falsafa ya CDM. ni chama cha siasa kisicho na nadharia inayoelezeka wazi..
Ni sawa kabisa ni shirika lisilo la kiserikali NGO ninachoweza kusema viongozi wa CDM waache kupotosha wanachi kuwa CDM ni nguvu ya Umma.
CDM ina wabunge wa kuchaguliwa 23 tu kati ya wabunge 239. Bara 189 na Visiwani 50 Pemba 18 Unguja 32..
Sasa hii kauli mbiu ya CDM kuwa ni chama cha nguvu ya Umma inatoka wapi?
Tumeona maandamano ya CDM yasiokuwa na tija kwa taifa zaidi ya kugawana posho za maandamano kimsingi ni ufujaji pesa zetu wananchi ruzuku..
Viongozi wa CDM msiwapotoshe wananchi huwezi kuchukuwa nchi na wabunge 23 ukiwa na uwezo mkubwa wa kufikiri utaona huu ni umbumbu wa fikra..
Cha kushangaza zaidi CDM wanaenda mbali zaidi na kusema walishinda kiti cha urais, utashinda vipi urais na wabunge 23
Mods tunaomba muitoe hii thread ya huyu kichaa hapa kuiacha tokea jana wakati kuna thread zingine za maana ni upuuzi na anaweza kujiona na yeye kama great thinker,wengine hatukutaka hata kuchangia, Mods pls ifutilie mbali
Wana JF.
Mpaka sasa hivi sijajua itikadi na falsafa ya CDM. ni chama cha siasa kisicho na nadharia inayoelezeka wazi..
Ni sawa kabisa ni shirika lisilo la kiserikali NGO ninachoweza kusema viongozi wa CDM waache kupotosha wanachi kuwa CDM ni nguvu ya Umma.
CDM ina wabunge wa kuchaguliwa 23 tu kati ya wabunge 239. Bara 189 na Visiwani 50 Pemba 18 Unguja 32..
Sasa hii kauli mbiu ya CDM kuwa ni chama cha nguvu ya Umma inatoka wapi?
Tumeona maandamano ya CDM yasiokuwa na tija kwa taifa zaidi ya kugawana posho za maandamano kimsingi ni ufujaji pesa zetu wananchi ruzuku..
Viongozi wa CDM msiwapotoshe wananchi huwezi kuchukuwa nchi na wabunge 23 ukiwa na uwezo mkubwa wa kufikiri utaona huu ni umbumbu wa fikra..
Cha kushangaza zaidi CDM wanaenda mbali zaidi na kusema walishinda kiti cha urais, utashinda vipi urais na wabunge 23
kaka usijidanganye na idadi ya wabunge, wewe angalia popularity ya chama- tukifanya uchaguzi leo hii na Tume Huru CDM inachukua nchi na wabunge zaidi ya 120 - Nakuambia ukweli.Mimi nilidhani wana wabunge 48..
Kumbe mmewapunguza wamebaki 23!!
hii imetokea lini mkuu???