Elections 2010 Kauli mbiu mpya ya JK 2010

M-bongo

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
338
71
Wana JF,

Katika pitapita yangu leo nimeweza kugudua kauli mbiu ya Mh Jakaya atakayo tumia katika uchaguzi mkuu mwaka huu kama ifuatayo:

KASI ZAIDI
NGUVU ZAIDI
ARI ZAIDI
TULIAHIDI TUMETEKELEZA!


Hii ndio kauli mbiu itakayotumika mwaka huu ktk uchaguzi
 
Wana Jf
katika pitapita yangu leo nimeweza kugudua kauli mbiu ya Mh Jakaya atakayo tumia katika uchaguzi mkuu mwaka huu.
nikama ifuatayo

KASI ZAIDI
NGUVU ZAIDI
ARI ZAIDI
TULIAHIDI TUMETEKELEZA

Hii ndio kauli mbiu itakayo tumika mwaka huu ktk uchaguzii

Hiyo yenye red ndo inachekesha zaidi. kwi kwi kwi kwi!
 
'TULIAHIDI TUMETEKELEZA'
Oooh! My Goodnes" Mmetekeleza nini? What a sick joke! Real I feel sick to my stomach and Im gona puuuuuuke!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Labda walichaahidi kutekeleza ni kuendelea kuwa na shule za nyasi,watoto wengi mitaani,wazazi kubaka watoto,vibaka kuongezeka,mauaji ya alibino,wanachi kuvamia vituo vya polisi,wananchi kuzomea viongozi kwa kutokuridhishwa na utendaji wa serikali , kupopotoa msafara wa raisi,ikulu kumuadhiri raisi mara kwa mara kubadilisha watu wa kupokea magari,raisi kupokea baiskeli za kichina,na magari ya raisi kuchomoka matairi na kuwekewa mafuta ya taa

kwi kwi kwi kwi kwa kwa kwa kwa haooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo,bure kabisa
 
yes, Kasi ilikuwepo Bwana. Don't just ignore everything. Kwani si mliona kasi ya ufisadi ilivyokuwa?. Ilikuwa kasi na ari mpya kikweli kweli, maanake haijawahi kutokea ya aina hii tangu uhuru.
 
Ndugu zangu wana JF Katika pitapita zangu nimenasa kauli mbiu ya JK ya 2010 kua ni hii, Ari Zaidi, Kasi zaidi ,Nguvu Zaidi ,Tumeahidi Tumetekeleza

Hebu tujadili
 
37291_1474883801206_1507034707_31191570_1756386_n.jpg

mwananchi akiuguza nduguze wagonjwa katika Zahanati kijijini Kisaki, Bwakila, Morogoro



37291_1474883921209_1507034707_31191571_7753096_n.jpg


wagonjwa wakiwa wamelazwa katika Zahanati kijijini Kisaki, Bwakila, Morogoro
 
"Serikali haina hela" huu ndio wimbo ambao nimeusikia sana katika awamu hii. Unajua kuna watu ambao wana external locus of control, yaani wao kila kitu wanasukumizia upande mwingine, they can't accept their mistakes.

Wewe unakimbilia kusingizia mapato ya TRA, gharama za serikali (ambazo for sure ni fuel costs za ma-V8 ambayo sijaona sababu mpaka kesho ya kuwa nayo mengi kiasi hiki), wakati hali ya hospitali zetu ni chovu namna hiyo.

Then leo tunakuja danganywa na Rais kuwa by 2015 kila mwalimu atakuwa ana computer wakati ameshindwa kutimiza simple tasks kama elimu, huduma safi za afya na kuishia kushangilia wimbo wenye kibwagizo cha "kwa hisani ya watu wa Marekani, China, n.k."
 
Bubu, hizo picha za Kisaki zinanipa depression! Tatizo ni kwamba hata CCM waje bila kaulimbiu, uchaguzi watashinda tuu. Lakini ipo siku,tena yaja upesi....
 
Back
Top Bottom