Sigma
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 5,006
- 1,254
hatutaki
Kwanini
hatutaki
Kwani Mkuu Ritz wewe unawashwa nini, si ungoje huko huko usiamie CDM wakati huu uone cha moto its a WIND OF CHANGE NO BODY EVEN RITZ CAN STOP IT!!!!!Dogo watu wanajadili mambo ya msingi ya kitaifa wewe unaleta ngonjera...nakushauri nenda pale Makao Makuu ya Chadema Kinondoni Mtaa wa Ufipa kamuone mtu mmoja anaitwa Matola kampe hiyo kauli mbiu yako.
hamia chadema.Movement for radical change....nilianza nayo mwaka jana.Hata hivyo kazi iliyoko mbele ni zaidi ya slogan
Dogo watu wanajadili mambo ya msingi ya kitaifa wewe unaleta ngonjera...nakushauri nenda pale Makao Makuu ya Chadema Kinondoni Mtaa wa Ufipa kamuone mtu mmoja anaitwa Matola kampe hiyo kauli mbiu yako.
peoples power speaks for itself...usiongeze neno wala usipunguzeee
Naunga mkono hoja.
Nami siko mbali sana na wewe kaka kuhusu kauli mbiu ya chadema,hali kadhalika iwe HAMIA CHADEMA,asante sana.Habari wana jf,napendekeza kauli mpya hii waitumie chadema,ninaimani itavuta sana watu kutoka pande zote za nchi.napendekeza chadema watembee nchi nzima kueneza kauli hii mpaka vijijini huku wakifungua matawi kwa fujo ninaamini tutapata wanachama wengi sana.badala ya hamia airtel napendekeza iwe hamia chadema,mnaonaje wana jf wenzangu? Weka mchango wako hapa.
hamia chadema.Movement for radical change....nilianza nayo mwaka jana.Hata hivyo kazi iliyoko mbele ni zaidi ya slogan
chadema 4 life, ccm 4 death