Kauli kutoka bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu soma hapa

MKINDE

Member
Aug 16, 2012
43
45
Wana JF naombeni nafasi nami nipande jukwaani,
Kutokana na chanzo changu cha habari kilichopo jijini dar es salaam kilichokuwa kikidodosa dodosa kuhusu kucheleweshwa kutolewa majina ya walioomba mkopo kupitia HESLB chanzo kinaeleza kwamba mpaka ijumaa mambo yalikuwa yapo tayari kabisa na ruhusa ilikuwa imetolewa kwamba majina hayo yatolewe na watu wajionee ila sababu inayopelekea mpaka sasa majina hayo yasiwepo wazi ni kwamba kuna idadi kubwa ya wanafunzi wamekosa mikopo hiyo ya elimu ya juu na iwapo bodi itatoa majina hayo mapema basi watakabiliwa na vurugu kubwa itakayotokea eneo lile la ofisi za bodi. Mwanadodoso hakuishia hapo alipotaka kujua zaidi kwa nini wanafunzi wengi wakose mikopo majibu yaliyotoka pale ni kwamba : KAMA WAHADHIRI HADI LEO HAWAJAPATA MISHAHARA YAO SEMBUSE WEWE MWANAFUNZI?, TULIA HADI HAPO UTAKAPOONA MAJINA KWENYE WEBSITE MAMBO MENGINE NI YAKIOFISI ZAIDI....mwanadodoso mwenzangu aliishia hapo kwa hiyo tuwe wavumilivu tutaendelea kuwajuza yanayojiri maeneo hayo ya HESLB.
Mjumbe hafungwi. asanteni
 
Helsb aaa mzee mwenywe tz na wanafunz wanakutegemea twajua ukikohoa wengne watacheka wengne watanuna lkn sasa tumekuchoka kabisaaa,kama ni kukohoa umeshachelewa 2mechoka kukubembeleza,liwalo na liwe.
 
heheh hii ndio nchi yetu nasikia tuna Tanzanite,Diamond,Gold,Uranium,Petroleum.Gas,Coal duh sijui hili li nchi linatupeleka wapi
 
On government expenditure, the BoT report shows that total expenditure for the month of July was lower by over 50 percent as it stood at Sh539.5 billion, comprising recurrent expenditure amounting to Sh424.8 billion and development expenditure of Sh114.7 billion, with the deficit felt by all ministries and departments.
Wana JF naombeni nafasi nami nipande jukwaani,
Kutokana na chanzo changu cha habari kilichopo jijini dar es salaam kilichokuwa kikidodosa dodosa kuhusu kucheleweshwa kutolewa majina ya walioomba mkopo kupitia HESLB chanzo kinaeleza kwamba mpaka ijumaa mambo yalikuwa yapo tayari kabisa na ruhusa ilikuwa imetolewa kwamba majina hayo yatolewe na watu wajionee ila sababu inayopelekea mpaka sasa majina hayo yasiwepo wazi ni kwamba kuna idadi kubwa ya wanafunzi wamekosa mikopo hiyo ya elimu ya juu na iwapo bodi itatoa majina hayo mapema basi watakabiliwa na vurugu kubwa itakayotokea eneo lile la ofisi za bodi. Mwanadodoso hakuishia hapo alipotaka kujua zaidi kwa nini wanafunzi wengi wakose mikopo majibu yaliyotoka pale ni kwamba : KAMA WAHADHIRI HADI LEO HAWAJAPATA MISHAHARA YAO SEMBUSE WEWE MWANAFUNZI?, TULIA HADI HAPO UTAKAPOONA MAJINA KWENYE WEBSITE MAMBO MENGINE NI YAKIOFISI ZAIDI....mwanadodoso mwenzangu aliishia hapo kwa hiyo tuwe wavumilivu tutaendelea kuwajuza yanayojiri maeneo hayo ya HESLB.
Mjumbe hafungwi. asanteni
 
Helsb aaa mzee mwenywe tz na wanafunz wanakutegemea twajua ukikohoa wengne watacheka wengne watanuna lkn sasa tumekuchoka kabisaaa,kama ni kukohoa umeshachelewa 2mechoka kukubembeleza,liwalo na liwe

wacha kubwabwaja kijana, ngoja majina yatoke alaf ue umekosa mkopo ujuone utakavyo toa macho
 
wacha kubwabwaja kijana, ngoja majina yatoke alaf ue umekosa mkopo ujuone utakavyo toa macho

NingaR kama ni macho nimetoa vya kutosha,kama ni kiwewe nasema basi kumbuka ukizoea kusikia mlio wa bunduki utaogopa milio ya baruti,kama ni kupata Mungu akipenda nitapata na kama ni kukosa mafisadi wakipenda nitakosa.
 
Wana JF naombeni nafasi nami nipande jukwaani,
Kutokana na chanzo changu cha habari kilichopo jijini dar es salaam kilichokuwa kikidodosa dodosa kuhusu kucheleweshwa kutolewa majina ya walioomba mkopo kupitia HESLB chanzo kinaeleza kwamba mpaka ijumaa mambo yalikuwa yapo tayari kabisa na ruhusa ilikuwa imetolewa kwamba majina hayo yatolewe na watu wajionee ila sababu inayopelekea mpaka sasa majina hayo yasiwepo wazi ni kwamba kuna idadi kubwa ya wanafunzi wamekosa mikopo hiyo ya elimu ya juu na iwapo bodi itatoa majina hayo mapema basi watakabiliwa na vurugu kubwa itakayotokea eneo lile la ofisi za bodi. Mwanadodoso hakuishia hapo alipotaka kujua zaidi kwa nini wanafunzi wengi wakose mikopo majibu yaliyotoka pale ni kwamba : KAMA WAHADHIRI HADI LEO HAWAJAPATA MISHAHARA YAO SEMBUSE WEWE MWANAFUNZI?, TULIA HADI HAPO UTAKAPOONA MAJINA KWENYE WEBSITE MAMBO MENGINE NI YAKIOFISI ZAIDI....mwanadodoso mwenzangu aliishia hapo kwa hiyo tuwe wavumilivu tutaendelea kuwajuza yanayojiri maeneo hayo ya HESLB.
Mjumbe hafungwi. asanteni
mbona hizi habar zinakanganya mwingine kasema jana mikopo imecheleweshwa kwa sababu baadh ya vyuo bado kupangiwa mikopo.....wewe kwa sababu bodi inaogopa migomo......au kila m2 ana heslb yake
 
Mliambiwa elimu bule mkabisha sasa ngoja bodi iwaneshe yamoyoni ya ccm. Nchi ni tajiri af mwanafunzi anyimwd mkopo.
 
NingaR kama ni macho nimetoa vya kutosha,kama ni kiwewe nasema basi kumbuka ukizoea kusikia mlio wa bunduki utaogopa milio ya baruti,kama ni kupata Mungu akipenda nitapata na kama ni kukosa mafisadi wakipenda nitakosa.

Acha kukata tamaa wewe kila mtu ata lamba kidogo angalau kila mmoja aonje!
ondoa shaka kijana HESLB wamepewa fedha za kutosha mwaka huu
 
Msimamo Wangu ni Uleule Kama nilivyosema mwanzo "KWA SASA BODI YA MKOPO HAINA PESA YA KUTOSHA KULIPIA ADA KILA MWANAFUNZI " HASAHASA WALE NDUGU ZANGU WA NON-PRIORITY KAMA NILIVYOWAAMBIA MWANZE KUJICHANGACHANGA KWA SASA HIVI LA SIVYO MTAAMBULIA MAUMIVU MAKALI MITHILI YA MTU ALIYENG'ATWA NA NG'E..!!
Kwa wale ndugu zangu wa Priority eebhana eeh... MKOPO unapata wewe usiwe na wasiwasi kabisa ingawa wanaweza kupa kulingana na vigezo vyao wanavyoangalia mfano
1. Shule uliYOSOMA
2. Kama ulituma Pasi Ya kusafiria badala ya kitambulisho cha mpiga kula umekwisha utapewa ka % kadogo mfano. 0,10,20, or 30
3. Kwenye Birthcertificate wataangalia Kazi za wazazi wako..mfano engineer, businessman/woman..kama kawaida hizo % za hapo juu zinakuhusu...

NB:
1.kwa wale waliojaza Kozi za utabibu, kilimo, engineers na ualimu wa sayansi Hapa hawataangalia hivyo vigezo Vyao hapo juu So mwisho Wa siku Utalamba 100%..!!
2.Na wale ndugu zangu wa Non-priority wengi wenu mtakosa mkopo Hiyo ni Hakika ingawa kuna wengine wamepatapata % ndogondogo kama nilivyo orodhesha hapo Juu !!
3. Rasmi kitu mpaka tarehe 1-3 mwezi wa 10
OVERRRR....
 
hapana jamani mimi ni mfanyakazi wa hapo bodi ya mikopo ila ni kwamba imeonekana idadi kubwa ya wadahiliwa walikimbilia ualimu hivyo inatukoroga akili mpaka sasa,pia majibu nazani mpaka leo juma tatu saa sita kila kitu kitakua wazi ila hakuna mwanafunzi mwenye haki ya kupata mkopo atakosa ila ikitokea umekosa basi ujue huna vigezo yaani
---wewe sio kipaombele cha taifa mf digree ya sheria,kiswahili nk
----imeonyesha wazazi wako wana uwezo kulingana na education background yako
-----na mengineyo mengi
AHSANTENI
 
hapana jamani mimi ni mfanyakazi wa hapo bodi ya mikopo ila ni kwamba imeonekana idadi kubwa ya wadahiliwa walikimbilia ualimu hivyo inatukoroga akili mpaka sasa,pia majibu nazani mpaka leo juma tatu saa sita kila kitu kitakua wazi ila hakuna mwanafunzi mwenye haki ya kupata mkopo atakosa ila ikitokea umekosa basi ujue huna vigezo yaani
---wewe sio kipaombele cha taifa mf digree ya sheria,kiswahili nk
----imeonyesha wazazi wako wana uwezo kulingana na education background yako
-----na mengineyo mengi
AHSANTENI

una uhakika na iyo tarehe ulioisemaaa mi information zote nazipata kutoka kwa bosi wako..sasa mkuu we leta utani utaona hili jukwaa chungu
 
hapana jamani mimi ni mfanyakazi wa hapo bodi ya mikopo ila ni kwamba imeonekana idadi kubwa ya wadahiliwa walikimbilia ualimu hivyo inatukoroga akili mpaka sasa,pia majibu nazani mpaka leo juma tatu saa sita kila kitu kitakua wazi ila hakuna mwanafunzi mwenye haki ya kupata mkopo atakosa ila ikitokea umekosa basi ujue huna vigezo yaani
---wewe sio kipaombele cha taifa mf digree ya sheria,kiswahili nk
----imeonyesha wazazi wako wana uwezo kulingana na education background yako
-----na mengineyo mengi
AHSANTENI
Tunashukuru mkuu kwa kutupa moyo acha tusubirieeeeeee maana watoto wa wakulima bado tunasota mtaan hatujui litakalo jili maana unaweza kwenda kuanza chuo kumbe umelamba NIL lazma utarudi kulima nyumban ili kujipanga zaidi.
 
Back
Top Bottom