only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
....Kauli tata zinazotolewa na viongozi wakubwa wa serikali zimeendelea,na wakati huu ilikuwa zamu ya Waziri Omari Nundu alipokuwa akiiongea na wafanyakazi wa shirika la reli mkoani KIGOMA...ishu ilikuwa hivi;wafanyakazi wa shirika la reli KIGOMA walimkumbusha ahadi yake aliyoitoa akiwa MWANZA mwaka jana kuwa serikali itawalipa kifuta jasho wafanyakazi wake baada ya kuingia na kuvunja mkataba na wale wawekezaji dhaifu(RITES)...Baada ya wafanyakazi hawa kumkumbushia ahadi hii waziri alijibu "HAKUNA SUALA LA KIFUTA JASHO,YULE ALIYETAYARI KUFANYA KAZI NA KUIMARISHA TRC ABAKI,YULE ASIYETAKA AONDOKE MWENYEWE MAPEMA,FUTENI KABISA SUALA LA KIFUTA JASHO"
Mawazo yangu:
Kauli kama hizi zimekuwa kawaida kwa wtanzania siku hizi,kuna kipindi walimu waliambiwa asiyetaka kufanya kazi aache nk..Je,serikali hii inayojiita kuwa ni sikivu kwanini inawafanyia hivi watanzania?
Source: Channel Ten News Bulletin
Mawazo yangu:
Kauli kama hizi zimekuwa kawaida kwa wtanzania siku hizi,kuna kipindi walimu waliambiwa asiyetaka kufanya kazi aache nk..Je,serikali hii inayojiita kuwa ni sikivu kwanini inawafanyia hivi watanzania?
Source: Channel Ten News Bulletin