Kauli inayomgharimu Hadji Mponda dhidi ya Madaktari

je dr.mponda & L.nkya mko radhi kwa hili????? vipi RAISI wetu umeshindwa kuamua? je itakuwaje? nitarudi kuchukua jibu baadae+++++++++:couch2:
 
Atakuwa mfano kwa viongozi wanaojisahau na kuanza kuwatukana wanachi. .....kula nyasi, kuogelea,
 
Acha upuuzi wewe hiyo kauli ndiyo iwe sababu hao madaktari ni makanjanja tu, huwezi kumpa Rais masharti.
Hiyo kauli mbona na wewe huhitaji kuwa Dr. ndiyo uifahamu, kwani hujui kauli inamfunga mtu, sasa kama yeye ni waziri wa afya anasema hawajibiki kwa madaktari unataka akawajibike kwa nani, hao wakulima na wafugaji wanamhusu kama mbunge na madaktari wanamhusu kama waziri wao. Siyo lazima kutetea kila kitu, muda mwengine unaweza ukawa mkweli wa hali halisi, kuwa viongozi wa Tanzania hawajali raia wao na ndiyo maana wanaweza kusema aina yoyote ya upuuzi na isiwe kitu. Naamini ukanjanja wanao wote wasioweza kufahamu kauli hiyo.
 
Unauliza rais ni nani kweli wewe chai ya rangi. Wakifukuzwa hao mawaziri ndiyo matatizo ya madaktari yataisha au wakija mawaziri wapya watakuja na pesa za kutoka mfukoni mwao kuwapa hao madaktari makajanja wakati bunge la bajeti limeishapita.? Punguza gongo wewe.

ww sent item ndo Kanjanja wa kwanza! unafikiri ni pesa kiasi gani huwa kinatumika nje ya Bajeti husika na mara nyingi hutumika kwa starehe tu na viongozi makanjanja ambao wanadhani waTZ ni makanjanja hawajui wanayoyatenda? unafikiri madai ya madaktari yameanza baada ya bunge la bajeti inayoendelea? kwa hiyo viongozi wako wanafanya blunder kwa vile bajeti imesha pita? Fikiria kwanza kabla ya kuita wengine makanjanja, Viongozi wako ndo Makanjanja kwn hawajui kama waTZ tunajua ujinga wanaoufanya katika ofisi, mali na Nchi ya WATANZANIA.
 
anachezea taaluma ndio maana alitamka bila kujua madhara yake nini baada ya kauli hiyo. ila nijuavyo ni kutokana na familia kutokuwa na uoga ndio hayo madhara yake watakoma na ushamba wa kipogolo
 
Wakubwa msimpuuze aliyeleta siri hii kwa jinsi ninavyomfahamu mkuu wetu wa nchi haya maneno hayachelewi kuwa ya kweli kwani mmesahau kuwa yeye ni mtu wa kupakiwa maneno arafu anareact? kwa mfano fuatilieni hotuba zake zote anazoongea na wazee wa Dar labda niwakumbushe chache..je mnakumbuka ile ya TUCTA alvyochemka na MGAYA...changanya akili za kuambiwa na zako....pili kumbukeni siku ile mjadala baada ya chedema kuondoka bungeni kesho yake alivyokimbilia kwa wazee nikitarajia atumbie solution ya umeme iliyokuwa imetukumba wakati huu akaishia kutoa mipasho kwa wazee wa dar (Wakina Mzee Small na wenzake) lakini haikupita akayalamba matapishi yake kwa kuwaita chadema ikulu..so hata leo nawambia mtakuja kunieleza nyie sikilizeni upuuzi atakaoongea...tena ya leo ni mbaya zaidi kwani hata watu wake wa karibu ambao nao huwa wanampoteza kama Salva Rweyemamau n.k wamestushwa tu wala hawajui nini atazungumzia so tegemmeni madudu kwani anayejua cha kuzungumwa leo ni msaidizi wake katika mambo ya tunguli mkuu wa mkoa...kwa kumalizia anaglieni GUARDIAN unigereza walivyo na uchungu wa nchi yetu kuliko mimi nawewe haya someniiiiii





WAZUNGU WASEMAVYO JUU YA KIKWETE/VIONGOZI WA TANZANIA
Ni baadhi tu ya maoni katika habari iliyochapishwa kwenye gazeti la The Guardian, la Uingereza, yenye kichwa cha habari, "Davos 2012: All the developments from day two of the summit".
RichardBrunwick
26 January 2012 2:33PM
Tanzania's Kikwete is one of the most pathetic African leaders of our times. He is a peacetime leader for a country known to be one of the richest in the world in terms of natural resources, yet he leades the world with begging. Foreign companies have known Tanzania to be a free land in which you can go in and take all you can without being asked a question. I really don't get the mind set of its leaders especially their prsident Mr. Kikwete, a Muzungu worshiper. Having worked with the UNDP in that country for 8 years, I realized how inneficient and corrupt the country's leadership is. His ministers that requested bribes from BAE have never been tried despite the damning evidence against them. British TAX payers must stop funding this man's corruptin and foreign trips. His human rights record is horrible. Mr. Kikwete had no business of going to Davos to ask for foreign aid. Already his country is the world third leading foreign Aid dependant nation. He should be embarassed to say to the world that people are poor. His people living "hand to mouth " is his own is own ignorance and stupidity.That is hiw own problem, Brits are having their own problems he must realize that. We cant bankroll his foreign trips. He should make good use of his country's wealth. Instead of letting his corrupt officials and foreigners loot his country, he needs to think before letting himself be a global loughing stock. I read in one of the regional (kenyan) publication the mockery nature related to his frequent foreign trips. Palestinian, Haiti, Lebanon, Somalia and even Rwanda economies are more robust that of Tanzania. We must question the nations that welcomes this "Joker's" request for AID. He needs to be on a "no-fly" list so he can be serious. Hopefully the billionaires questions what he has done with the Money he has received for decades. The Arab spring should turn into the African summer and get rid of the Kikwete likes(Latest US news, world news, sport and comment from the Guardian | guardiannews.com | The Guardian discussion/comment-permalink/ 14344505)
LindaCroucher
26 January 2012 3:50PM
Response to RichardBrunwick, 26 January 2012 2:33PM
This man did not deserve to be a head of state. He has no credibility. How can a head of state be bribed suits? We must write Downing Street and our parliament, and let them know that Aid to some of these african countries ought to STOP. nyerere the founding president of tanzania was a visionary even though his socialist policies failed, but he was a nationalist and a true patriot.Kenya, Rwanda, Ghana have seen far and are on the roll to economic dependence. Kikwete, and his chrony of rulling elites getting richer and richer. These people have no electricity yet the country has so many dams and rivers. There should be a policy to bar all corrupt leaders and their children from stepping into the EU.I dont blame Kikwete, i blame Tanzaians for letting this happen. They should be 100% responsible for their poverty and suffering. We just dont need them to come for Aid. We have many Brits out of work, and that money should pay for their Unemployment Benefit(Latest US news, world news, sport and comment from the Guardian | guardiannews.com | The Guardian discussion/comment-permalink/ 14346120)
LindaCroucher
26 January 2012 4:01PM
African problem is more than foreign aid. They are not ready for economic transformation. In Tanznaia today, they have started the leadership inheritance in which the old guards passess on the torch to their children. we should not expect anything serious from African nations. If it means our money, lets cut it off. We have so many social problems to deal with people's own created miserybecause they will never have free elections without someone stffing ballot boxes and ready to let the whole country in flames as long as they remain in power and their children in top american and british schools(Latest US news, world news, sport and comment from the Guardian | guardiannews.com | The Guardian discussion/comment-permalink/ 14346365)
Ukitaka kujibu maoni hayo na/au kusoma mengine, bofya hapa ufuate ukurasa husika katika The Guardian
 
Acha upuuzi wewe hiyo kauli ndiyo iwe sababu hao madaktari ni makanjanja tu, huwezi kumpa Rais masharti.

Wee Kibaraka, umejiunga juzi ili uje uhalalishe posho uliyolipwa? kama madaktari ni makanjanja, anza na huyo mheshimiwa sana ambaye naye eti ni Dr. then umalizie na Mponda na Nkya ambao nao ni madaktari by profession. Ndio maana TZ imefika hapa ilipo kwa hao viongozi wako makanjanja - U might be right anyway...!
 
Kuna watu wengi wamekuwa wakihoji kwa nini Waziri wa Afya ajiuzulu? Hata Waziri Mkuu, Mizengo Pinda nae alihoji swali hili wakati akizungumza na Waandishi wa habari hivi majuzi na akaenda mbali kwa kusema Waziri Mponda ni mgeni pale Wizarani na hadly ana kama mwaka mmoja ofisini. Kwa wale ambao hamjui kiini cha Madaktari kumchukia huyu Waziri napenda tu niwaambie kauli yake moja aliyoitoa wakati akihojiwa na waandishi wa habari kabla ya ule mgomo wa kwanza. Alisema hivi: Nanukuu



Mwisho wa kunukuu!


Kama ni kweli aliyasema hayo...basi he must play the music!!!
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom