Madaktari ni makanjanja tu. Sasa itakuwa mchezo kila idara ya serikali iwe inampa rais masharti huo ni upuuzi
Sent Item analia, Mponda ndo Mshua nini? Au ulikukatia tiketi ya ndenge kwenda kuangalia Mechi ya Taifa Star Vs Kameruni??? Pole sana
Madaktari ni makanjanja tu. Sasa itakuwa mchezo kila idara ya serikali iwe inampa rais masharti huo ni upuuzi
Acha upuuzi wewe hiyo kauli ndiyo iwe sababu hao madaktari ni makanjanja tu, huwezi kumpa Rais masharti.
Unauliza rais ni nani kweli wewe chai ya rangi. Wakifukuzwa hao mawaziri ndiyo matatizo ya madaktari yataisha au wakija mawaziri wapya watakuja na pesa za kutoka mfukoni mwao kuwapa hao madaktari makajanja wakati bunge la bajeti limeishapita.? Punguza gongo wewe.
Acha upuuzi wewe hiyo kauli ndiyo iwe sababu hao madaktari ni makanjanja tu, huwezi kumpa Rais masharti.
Pole sana Sent Item. Kumbuka madoctor wengi ni walipata dv ngapi Six.
Unauliza rais ni nani kweli wewe chai ya rangi. Wakifukuzwa hao mawaziri ndiyo matatizo ya madaktari yataisha au wakija mawaziri wapya watakuja na pesa za kutoka mfukoni mwao kuwapa hao madaktari makajanja wakati bunge la bajeti limeishapita.? Punguza gongo wewe.
UPUUZI kama neno ama UPUUZI kivitendo, pengine kuna mtu ashakuwaga mpuuuzi kabla ya huu upuuuzi.Madaktari ni makanjanja tu. Sasa itakuwa mchezo kila idara ya serikali iwe inampa rais masharti huo ni upuuzi
Unauliza rais ni nani kweli wewe chai ya rangi. Wakifukuzwa hao mawaziri ndiyo matatizo ya madaktari yataisha au wakija mawaziri wapya watakuja na pesa za kutoka mfukoni mwao kuwapa hao madaktari makajanja wakati bunge la bajeti limeishapita.? Punguza gongo wewe.
Kiburi cha kipogoro hicho na sasa imekula kwake
Acha upuuzi wewe hiyo kauli ndiyo iwe sababu hao madaktari ni makanjanja tu, huwezi kumpa Rais masharti.
Ni kweli anawajibika jimboni, kwani uongo? na Nkya naye wanataka ajiuzulu kwa nini? Naona madaktari ni wapuuzi fulani hivi!
Wewe una Taaluma gani Mkuu?Ni kweli anawajibika jimboni, kwani uongo? na Nkya naye wanataka ajiuzulu kwa nini? Naona madaktari ni wapuuzi fulani hivi!