TUMBIRI
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 1,933
- 1,199
Kuna watu wengi wamekuwa wakihoji kwa nini Waziri wa Afya ajiuzulu? Hata Waziri Mkuu, Mizengo Pinda nae alihoji swali hili wakati akizungumza na Waandishi wa habari hivi majuzi na akaenda mbali kwa kusema Waziri Mponda ni mgeni pale Wizarani na hadly ana kama mwaka mmoja ofisini. Kwa wale ambao hamjui kiini cha Madaktari kumchukia huyu Waziri napenda tu niwaambie kauli yake moja aliyoitoa wakati akihojiwa na waandishi wa habari kabla ya ule mgomo wa kwanza. Alisema hivi: Nanukuu
Mwisho wa kunukuu!
Mimi nawajibika kwa Wakulima na Wafugaji wa Jimbo la Ulanga Magharibi. Madaktari hawanihusu!
Mwisho wa kunukuu!