Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Mnaoleta mifarakano na kuendeleza ujinga hapa JF na hata baada ya watu kuelewana nakumaliza tofauti zao , kwania kuuchochea mgogoro nadhani hamna nafasi.Hapa watu wengi wa JF si wapiga kula .Wanasema tu lakini siku ya kura na kampeni za uwanjani hawajitokezi .Nadhani sasa kama mnatumika kuja kuchafua Chama , kumachafua Zitto nk mjue kwamba tumesha jua mengi yenu na bora ujinga huu mkaufanyie nje ya JF .