Kisoda2
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 2,475
- 745
Hivi karibuni nimebahatika kuzisikia kauli za muungwana JK katika runinga akiwa kwenye sindimba zake za kutembelea wizara.
kauli kama hizi:-
1. kwani kuna wafanya kazi/watumishi hewa(UTUMISHI)
2.Mnauza nyumba/kupangisha kwa bei kubwa (Nyumba na makazi- NHC)
3.tuangalie katika kuwahamisha wavamizi wa hifadhi za bara bara,tusijikute bara bara imejengwa halafu ikakosa wa kumhudumia.
hivi anapoongea kauli kama hii (red) ana halalisha ama anatueleza nini?
Kwa kiongozi kama yeye kutwambia eti bara bara itakosa wa kumhudumia, basi sheri hizi zifutwe ama bara bara ya mlandizi chalinze isingejengwa kwani pembezoni hakuna watu wakuhudumiwa na hiyo bara bara.
Kibaya zaidi ni style anayotumia kuinterrupt maelezo ya mhusika kana kwamba wapo kwenye kusutana(Mipasho ya mashangingi wa KKoo)
Inaonyesha kichwa yake haiwezi kutunza kumbukumbu ili aje amuulize maswali hayo mwisho wa story.
kauli kama hizi:-
1. kwani kuna wafanya kazi/watumishi hewa(UTUMISHI)
2.Mnauza nyumba/kupangisha kwa bei kubwa (Nyumba na makazi- NHC)
3.tuangalie katika kuwahamisha wavamizi wa hifadhi za bara bara,tusijikute bara bara imejengwa halafu ikakosa wa kumhudumia.
hivi anapoongea kauli kama hii (red) ana halalisha ama anatueleza nini?
Kwa kiongozi kama yeye kutwambia eti bara bara itakosa wa kumhudumia, basi sheri hizi zifutwe ama bara bara ya mlandizi chalinze isingejengwa kwani pembezoni hakuna watu wakuhudumiwa na hiyo bara bara.
Kibaya zaidi ni style anayotumia kuinterrupt maelezo ya mhusika kana kwamba wapo kwenye kusutana(Mipasho ya mashangingi wa KKoo)
Inaonyesha kichwa yake haiwezi kutunza kumbukumbu ili aje amuulize maswali hayo mwisho wa story.