Patriote
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 1,718
- 1,047
- Thread starter
- #81
Sababu tutayoelezwa na wataalamu wetu ni kwamba 500 mpya kuchoka zaidi ya zile za zamani ni kuwa hizo mpya zinashikwa sana kuliko zile za zamani mana wananchi wanang'ang'ania mpya kuliko za zamani. Hivyo mpya shart zichoke zaidi. Simple!It is true we have two sets of T. shs.500 notes in circulation ;the older set being in better condition than the newer one!!!