Patriote
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 1,718
- 1,047
- Thread starter
- #41
Hajausisha hoja ya kisayansi kama Prof. mbona hakuna noti ya Tsh 5??Maana tsh 5 hatuzishiki sana so hakuna haja ya kuzifanya sarafu. Ukweli ni kwamba thamani ya noti hiyo imepungua na hivyo kuitengeneza in form ya noti ni bei juu kuliko thaman ya noti yenyewe. Labda uniambie kuwa ni ile sera ya PRINT MORE MONEY.Noti hata ikiwa vipi lazima itachakaa esp hiyo ya denomination ya chini ambayo kila mtu anaishika. Kumbuka pia hizo 500 hazipiti sana BOT.Ni utaratibu wa kawaida kutoa noti chafu kuingiza safi.sasa sijui ubabaishaji umetoka wapi?