Domhome
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 3,197
- 3,930
Kauli hizi kwa hakika zinanikera....
I. Wakulima kuzuiwa kuuza mazao yao eti kisa huenda kukawa na uhaba mkubwa sana wa chakula baadaye! kauli hii huwa inatolewa na viongozi katika namna ya kuonyesha Mkulima anahurumiwa!
II. Huyu fulani (wanataja jina) anasema nini sasa? wakati yeye aliwahi kuwa Kiongozi, kwenye Serikali ya awamu fulani?
Ninakerwa kwasababu,
Kauli ya I: Mbona wafanyakazi waajiriwa Serikalini au kwenye sekta binafsi hawapewi mishahara yao kidogo kidogo, wakati twafahamu wengine ni walevi, wazinzi n.k.? Kwanini nao wasitendewe kama atendewavyo mkulima?
Kauli ya II: Hivi ni kosa kwa Mtanzania yeyote kuukosoa utawala uliopo madarakani sasa eti kisa tu aliwahi kuwa DC, RC, etc etc kwenye Serikali ya awamu fulani?
Ni kwanini lakini? I stand to be corrected!
I. Wakulima kuzuiwa kuuza mazao yao eti kisa huenda kukawa na uhaba mkubwa sana wa chakula baadaye! kauli hii huwa inatolewa na viongozi katika namna ya kuonyesha Mkulima anahurumiwa!
II. Huyu fulani (wanataja jina) anasema nini sasa? wakati yeye aliwahi kuwa Kiongozi, kwenye Serikali ya awamu fulani?
Ninakerwa kwasababu,
Kauli ya I: Mbona wafanyakazi waajiriwa Serikalini au kwenye sekta binafsi hawapewi mishahara yao kidogo kidogo, wakati twafahamu wengine ni walevi, wazinzi n.k.? Kwanini nao wasitendewe kama atendewavyo mkulima?
Kauli ya II: Hivi ni kosa kwa Mtanzania yeyote kuukosoa utawala uliopo madarakani sasa eti kisa tu aliwahi kuwa DC, RC, etc etc kwenye Serikali ya awamu fulani?
Ni kwanini lakini? I stand to be corrected!