Bei ya Umeme
Ndugu Wananchi;
Natambua kuwepo kwa mazungumzo, katika jamii kuhusu uamuzi wa EWURA wa kukubali ombi la Shirika la Umeme (TANESCO) kuongeza bei ya umeme. Wakati mwingine mazungumzo yamekuwa na hisia kali na hata jazba kutawala. Wizara, TANESCO na EWURA wameeleza kwa ufasaha misingi iliyotumika mpaka kufikia uamuzi huo. Sina maelezo mazuri zaidi ya hayo. Ninachotaka kusema mimi ni kuwaomba Watanzania wenzangu kutokukubali suala hili la kibiashara na kiuchumi kugeuzwa kuwa la kisiasa na kutafutiwa majawabu ya kisiasa.
Naomba tuamini na kukubali maelezo ya TANESCO na EWURA kwamba katika miaka minne hii gharama za uendeshaji, uzalishaji, usafirishaji na usambazaji wa umeme zimepanda kama zilivyopanda katika shughuli nyingine. Hivyo basi, kutaka bei ya umeme ibaki kama ilivyokuwa miaka minne iliyopita hautokuwa uamuzi sahihi kiuchumi na kibiashara kwa TANESCO. EWURA imefanya kazi nzuri ya kuchambua maombi ya TANESCO na kuyakubali yanayostahili na kuyakataa yasiyostahili kuwa sehemu ya bei. Kwa kufanya hivyo, watumiaji wa umeme wamelindwa wasibebeshwe mzigo usiostahili na Shirila la Umeme limewezeshwa ili lisiendeshe shughuli zake kwa hasara.
nimesikia wamiliki wa Mabasi wanapandisha nauli soon!DAWASCO wameunga tela,bei ya maji itaongezeka soon,soda zimepanda bei katikati ya mwaka wa budget,products za viwandani zinapanda bila notifications!!!!!!!!!!
teh teh teh tih tih. maisha bora kwa kila MDANGANYIKA kwa kasi zaidi na nguvu zaidi na pia ari zaidi. kama Rais anabariki upandaji huu wa UMEME kwa sababu kila kitu kimepanda ni dhahiri hata ambao hawakuwa na nia hiyo watapandisha tu.
TANZANIA YANGU MWEEEEE! mishahara ndo haipandi na haitapanda.
Ndugu Wananchi;
Natambua kuwepo kwa mazungumzo, katika jamii kuhusu uamuzi wa EWURA wa kukubali ombi la Shirika la Umeme (TANESCO) kuongeza bei ya umeme. Wakati mwingine mazungumzo yamekuwa na hisia kali na hata jazba kutawala. Wizara, TANESCO na EWURA wameeleza kwa ufasaha misingi iliyotumika mpaka kufikia uamuzi huo. Sina maelezo mazuri zaidi ya hayo. Ninachotaka kusema mimi ni kuwaomba Watanzania wenzangu kutokukubali suala hili la kibiashara na kiuchumi kugeuzwa kuwa la kisiasa na kutafutiwa majawabu ya kisiasa.
Naomba tuamini na kukubali maelezo ya TANESCO na EWURA kwamba katika miaka minne hii gharama za uendeshaji, uzalishaji, usafirishaji na usambazaji wa umeme zimepanda kama zilivyopanda katika shughuli nyingine. Hivyo basi, kutaka bei ya umeme ibaki kama ilivyokuwa miaka minne iliyopita hautokuwa uamuzi sahihi kiuchumi na kibiashara kwa TANESCO. EWURA imefanya kazi nzuri ya kuchambua maombi ya TANESCO na kuyakubali yanayostahili na kuyakataa yasiyostahili kuwa sehemu ya bei. Kwa kufanya hivyo, watumiaji wa umeme wamelindwa wasibebeshwe mzigo usiostahili na Shirila la Umeme limewezeshwa ili lisiendeshe shughuli zake kwa hasara.
nimesikia wamiliki wa Mabasi wanapandisha nauli soon!DAWASCO wameunga tela,bei ya maji itaongezeka soon,soda zimepanda bei katikati ya mwaka wa budget,products za viwandani zinapanda bila notifications!!!!!!!!!!
teh teh teh tih tih. maisha bora kwa kila MDANGANYIKA kwa kasi zaidi na nguvu zaidi na pia ari zaidi. kama Rais anabariki upandaji huu wa UMEME kwa sababu kila kitu kimepanda ni dhahiri hata ambao hawakuwa na nia hiyo watapandisha tu.
TANZANIA YANGU MWEEEEE! mishahara ndo haipandi na haitapanda.