Kauli hii inanikera, nifanyeje?

Nimepanga kwa pesa yangu, maana mie cna ndugu, sina mpenzi kwaiyo sina pa kuzipeleka pesa sasa ivi nipo off wiki mbili then niludi shimoni... Mie zangu njoooo...... Utanikuta na chukua type za kina Lara 1 na Ciello baby.....
haya umeongeza wamekuwa wawili na ile interview ya Ciello ilikusinda amekukubali kwa kigezo gani pesa ya barik au
 
Last edited by a moderator:
Una DHARAU wewe!

Dharau ya wapi?

Ukweli unauma Kaunga; habari ndo hiyo; ukubali ukatae ukweli unabaki pale pale. Akili za wanawake ni za ajabu sana.
Mwanaume akimkosea mwanamke - mwanamke ndo yuko kwenye dangerous zone,
Mwanamke akimkosea mwanaume - vile vile mwanamke ndo anakuwa kwenye dangerous zone;

Kwa kulitambua hilo ya nini mwanamke kujishaua?
 
Anamaanisha kuwa akili za wanawake ni ndogo ukilinganisha na za wanaume au hujaelewa ndg yangu.
Ndo maana kwa serikali ya Jamhuri ya Tannzania kuna wizara ya kushughulikia mambo ya wanawake na watoto.
no wonder mkeo anakujibu mbofu mbofu
 
dharau ya wapi?

Ukweli unauma kaunga; habari ndo hiyo; ukubali ukatae ukweli unabaki pale pale. Akili za wanawake ni za ajabu sana.
Mwanaume akimkosea mwanamke - mwanamke ndo yuko kwenye dangerous zone,
mwanamke akimkosea mwanaume - vile vile mwanamke ndo anakuwa kwenye dangerous zone;

kwa kulitambua hilo ya ninimwanamkekujishaua?
dume la ukweli halitumii hizi lugha!
 
"nitawapisha wengine nao waje wajaribu, nina kwetu"

Kauli hiyo inatolewa na 'unhappy wife', ambaye amejaribu kila awezalo kufanya ndoa iWork na it seems ameshindwa au juhudi zake haziwi appreciated. Anataka aprove kuwa mwenye tatizo sio yeye "..waje wajaribu..." bali ni mumewe. Pia anajifariji kuwa hakutoka nowhere bali somewhere.

Mwanamke anayefurahia ndoa hawezi tamka kauli kama hiyo. Mwanamke anayefurahia ndoa yake, atafanya kila njia kuikeep ndoa.

Nini kina mfanyana asifurahie, that is for her to know and Tutor B to find out!
 
Last edited by a moderator:
Hili suala ni gumu sana kama hauto tambua kuwa akili yako na mkeo zipo tofauti. Mwanamke ni mtu ambaye anapenda muda wote akutie kwenye himaya yake ya kutawala ili kila analosema uwe unakubali tu bila kulifanyia uchunguzi. Mwanamke akikuta kila jamba analokuambia wewe, halafu wewe hujibu neno lazima akutafutie sababu kuangalia je unampenda, na akigundua kuwa unampenda ndipo ana anza visa vya kutaka kurudi nyumbani kwao ili akuone wewe utasemaje. Sasa ili aache kusema hivyo na ukitaka kugundua kuwa nimnafiki siku akisema hivyo mwambie achukue vitu vyake aende ataona lazima atakataa kwenda kwao. kitu kinachotakiwa usitake ufananishe akili yako na ya kwake. Yaani ukiona umepata mke ambaye akili zinafanana ni kushukuru Mungu.

Kaka; ikitokea akatishia kuondoka na wewe ukamruhusu achukue vitu vyake aende; akifika kule anadai umemfukuza (akili mbovu sana). Mkianza kubishana mbele ya wasuruhishi ndo mwanzo wa kuanika mambo ya ndani ya nyumbani kwako - sipendi kujadili mambo ya ndani kwangu na jopo la watu.
 
Anamaanisha kuwa akili za wanawake ni ndogo ukilinganisha na za wanaume au hujaelewa ndg yangu.
Ndo maana kwa serikali ya Jamhuri ya Tannzania kuna wizara ya kushughulikia mambo ya wanawake na watoto.

Huna adabu hata kidogo! Tena umejaa dharau! No wonder mkeo anakujibu anavyokujibu! Hata kama akiwaachia wengine wajaribu sidhani kama kuna atakayeweza kukuvumilia!
 
Kwa wanaume kuwa na wanawake wengi haiendani na kabila fulani. Mbona Mzee Vasco Da gama wa Tanzania ana madem kibao lakini sio Mhaya?

Isitoshe maisha ya sasa hivi sio ya kuendekeza wanawake wa nje kwani wanaharibu maendeleo ya familia kabisa. Ni hisia tu za watu kwamba m2 ambaye ni social lazima awe na wanawake wa nje; hilo halipo kabisa; wale wanaojifanya wapole, hawaendi hata kujichanganya na marafiki - ndo wabaya sana kwenye kuteremsha nguo za ndani za kwao na za wengine.
ila potezea maugomvi sio nzuri kwa kweli,
 
"nitawapisha wengine nao waje wajaribu, nina kwetu"

Kauli hiyo inatolewa na 'unhappy wife', ambaye amejaribu kila awezalo kufanya ndoa iWork na it seems ameshindwa au juhudi zake haziwi appreciated. Anataka aprove kuwa mwenye tatizo sio yeye "..waje wajaribu..." bali ni mumewe. Pia anajifariji kuwa hakutoka nowhere bali somewhere.

Mwanamke anayefurahia ndoa hawezi tamka kauli kama hiyo. Mwanamke anayefurahia ndoa yake, atafanya kila njia kuikeep ndoa.

Nini kina mfanyana asifurahie, that is for her to know and Tutor B to find out!

Kaunga; hapo umeongea kwa kweli; na je! over 10 years hajasema!!! nimueleweje?
 
Kila tukiwa na mtafaruku na mama watoto wangu ananambia kauli hii "Nitawapisha wengine waje wajaribu, nina kwetu" Hivi mwanamke aliyeolewa, yuko ndani ya ndoa zaidi ya miaka 10 anaweza kuendeleaje kufikiria kurudi kwao badala ya kufikiria kujenga mji wake ambao unaweza kuwa kimbilio kwa jamaa zake wanaoweza kuwa na matatizo?
Akili au matope??????

KAULI HII INANIKERA SANA!
Ungesema na matatizo yako ili tupime ni nini kinapelekea aseme hivyo, kwa mfano unalala nje bila taarifa unategemea aseme nini? unashangaa kauli tu ilihali kuna watu wanajinyonga???????
 
inakera kweli, sasa huyu mwananke ana matatizo, kwanza yawezekana anasema hivo kukutisha unajua tena wanawake akili zao ndogo saana, pili yawezekana ni mambo ambayo aliyazoea kuyasema bila kumaanisha, au background ya familia yake wazazi walikua wanatishana mbele ya watoto mambo kama hayo, ila kama hana makosa makubwa ya kumwacha, mpende mtimizie ilyo haki yake, nadhani mtaelewana kwani kupishana kimawazao katika familia ya wawili mbona kawaida, mwanaume pia unakosea, ila maana na msingi kusaeheana wongo jombaaaaaa
samahani sana kama umeoa mwanamke mwenye akili ndogo hyu ni mkeo wewe,wewe peke yako!wenzio waume zetu wanatuaminia mfano hakuna CHAPA MWENDO KULE!we mwenyewe kichwa kimejaa uji wa tope tu humo lazima uaone kila mtu ana akili kama zako!
 
Huna adabu hata kidogo! Tena umejaa dharau! No wonder mkeo anakujibu anavyokujibu! Hata kama akiwaachia wengine wajaribu sidhani kama kuna atakayeweza kukuvumilia!

Hacha asira wewe! Akumbuke kuwa Mwanaume ni kichwa cha familia; naweza amua la kuamua likamuathiri yeye; sijui wewe utamsaidiaje?
 
mi nashangaa madogo wanataka kuingiza matatizo chumbani.....kama unataka kuongeza stress na kupunguza mda wa kuishi + kupoteza marafiki basi oa
 
samahani sana kama umeoa mwanamke mwenye akili ndogo hyu ni mkeo wewe,wewe peke yako!wenzio waume zetu wanatuaminia mfano hakuna CHAPA MWENDO KULE!we mwenyewe kichwa kimejaa uji wa tope tu humo lazima uaone kila mtu ana akili kama zako!

uzi huu uziwe ugomvi wa WANAUME VS WANAWAKE, Kinachotakiwa hapa ni kubadilishana mawazo na uzoefu wa mahusiano ya kindoa, wengine wameishanitukana eti nina dharau; eti acha nijibiwe hivyo; powa tu! ila kumbuka mimi binafsi ninayo maamuzi ambayo naweza kuyasimamia; msione wasimbe wamejazana mitaani mkashindwa kujiuliza sababu ni zipi.
Kwanza viumbe wa kike mko wengi na growth rate yenu iko juu kuliko wanaume; mkilijua hilo itawabidi muweke heshima kwa wanaume wote, no matter ni mumeo au si mumeo.
 
Anamaanisha kuwa akili za wanawake ni ndogo ukilinganisha na za wanaume au hujaelewa ndg yangu.
Ndo maana kwa serikali ya Jamhuri ya Tannzania kuna wizara ya kushughulikia mambo ya wanawake na watoto.

wewe ni mwanaume mpumbavu na nyumba yako unaivunja mwenyewe!
 
Kaunga; hapo umeongea kwa kweli; na je! over 10 years hajasema!!! nimueleweje?

Ushamuelewa after all wanawake wana akili mbovu, anzisha familia na wanaume si wana vishimo nao!

Mnatudharau na yet mnatuhitaji, ningekuwa mimi mkeo ningeondoka mazima. Maana mpaka dakika hii pamoja na akili zako nyingi wewe mwanaume unahangaika na kutuliza homa kuliko kuchunguza infection ni nini! Very brilliant!
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom