Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,600
Fikiria kesi ndogo kama hii;
Amechelewa kurudi nyumbani; anakukuta uko nje; unamuuliza mbona umechelewa hivi ulikuwa wapi?
Jibu; Eh! Baba fulani nisiongee ma marafiki zangu eti kisa nitaulizwa? kama ni hivyo ni bora nikupishe waje wengine wajaribu!
Utajisikiaje kwa jibu la namna hiyo??? Inakera!
Ninakuelewa, ikifikia hapo inabidi uwahusishe wakubwa wa pande zote, ni vitu vidogo dogo lakini vinaweza kuwa vina msukumo wa nje au ni kwa sababu ya kuweka vitu bila kuvijadili kwa muda mrefu na inazaa dharau.
Usiruhusu hasira ikutawale. We differ in interpretations, huenda haaminishi unavyomaanisha.