Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,260
Napata tabu kukuelewa coz,unawaza mbili kabla ya moja,faham sio kila mwanamke ni mke,nimezungumzia mwanamke,pili nimezungumzia HG ambae nae ni mwanamke lakini ni mke mtarajiwa kama akitaka,sasa unaposema sieleweki nami nashindwa kukuelewa,mke na HG majukumu yao ni tofauti,and so elimu pia,DA vipi?
Hebu hebu jipange upya "HUELEWEKI"