Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
Let me be neutral, ningependa kujua ni kwa nini umeme wa 132kv unaotoka mtera na kidatu umetengewa njia yake na karibu yake hairuhusiwi kujengwa makazi ya watu, lakini huu wa 132kv kutoka ubungo (kama kweli ni 132kv) unapitishwa karibu na makazi ya watu? au si 132kv? na kama ni 132kv hamwoni kuwa serikali inawatendea vibaya wakazi wote katika barabara hiyo na wala si kakobe na waumini wake ambao kwanza hawaishi eneo hilo?
mkuu, hapo inategemea unazungumzia ukaribu wa namna gani? kuna vipimo vya kitaalamu..umbali ambao kitaalmu na kisheria huruhusiwa kujenga/kuishi hapo kwa umeme huo.
na kabla ya mradi huo ilifanyika tathmini ya athari zake (if any) , serikali na wadau wakajiridhisha kuwa its okay, mradi ukaendelea. tatizo kakobe anadai kuwa huo umeme unge interfere na matangazo yake ya Tv sijui na redio...ambayo huko TCRA wala hawajapokea maombi ya kitu kama hicho
la muhimu ni kwamba maeneo yote ya mikocheni kuna matatizo makubwa ya umeme kuwa mdogo na kazi haziendi huko ila kwa mbinde
na ukichunguza kakobe tangu enzi hizo alikuwa na mattaizo na TANROADS kwa sababu alikuwa/yupo kwen road reserve. kwenye road reserve huruhusiwi makazi ya watu...na ndipo miradi kama hiyo huwa inapita!