Dumelambegu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,052
- 257
Wapendwa wana JF,
''Tunaunda timu kabambe ya ushindi wa kishindo ifikapo 2015''. Hicho ndicho kibwagizo cha chama hiki cha CCM kilichopauka na kupauka na kupoteza mvuto mbele ya kizazi kipya. Akili ya CCM imejielekeza kupata ushindi wa kishindo na siyo kuunda timu itakayoiletea nchi maendeleo. Ndiyo maana wanaopata vyeo ndani ya CCM ni wapiga domo na siyo watu wenye akili, mipango na uzalendo wa kuikomboa nchi yetu kimaendeleo.
''Tunaunda timu kabambe ya ushindi wa kishindo ifikapo 2015''. Hicho ndicho kibwagizo cha chama hiki cha CCM kilichopauka na kupauka na kupoteza mvuto mbele ya kizazi kipya. Akili ya CCM imejielekeza kupata ushindi wa kishindo na siyo kuunda timu itakayoiletea nchi maendeleo. Ndiyo maana wanaopata vyeo ndani ya CCM ni wapiga domo na siyo watu wenye akili, mipango na uzalendo wa kuikomboa nchi yetu kimaendeleo.