mariah leos
Member
- Jan 17, 2011
- 28
- 7
mwanaume gani wewe hata ukivaa suruali huonekani yani utadhani tambara la deki limetundikwa kwenye mlingoti
Ati! Uliemvalia jeans nani, hata msulia uje uvalie kwangu?Ujana wako ule na nani uzee wako uje kula na mimi, unikome kabisa...
Katika utafiti wangu nimegundua kuwa kuna maneno ambayo asilimia kubwa ya Wanawake wanapendelea sana kuwaambia Wanaume.
Nitataja Baadhi….
1 Kwa kuwa umepata ulichokuwa unakitaka...sasa unaniona sina maana tena.
2- Wewe unataka kunichezea tu. Hauna malengo na mimi
3- Ni kipi hasa kinachokufanya uniringie?
4- Nataka unipe pesa leo, lazima nisolve hii problem leo siwezi kusubiri kesho.
5- Wakati ulipokuwa hauko na mimi ulikuwa ukimmega nani?
6-Katika Wanaume na wewe Mwanamme? Una nini hasa cha kunishtua?
7- ……………………………………………… Endeleza List
nyingine.......Boyfriend wangu wa zamani alikuwa anani do....mpaka unajisikia hasa......na chest yake ilikuwa nzuri
Katika utafiti wangu nimegundua kuwa kuna maneno ambayo asilimia kubwa ya Wanawake wanapendelea sana kuwaambia Wanaume.
Nitataja Baadhi .
1 Kwa kuwa umepata ulichokuwa unakitaka...sasa unaniona sina maana tena.
2- Wewe unataka kunichezea tu. Hauna malengo na mimi
3- Ni kipi hasa kinachokufanya uniringie?
4- Nataka unipe pesa leo, lazima nisolve hii problem leo siwezi kusubiri kesho.
5- Wakati ulipokuwa hauko na mimi ulikuwa ukimmega nani?
6-Katika Wanaume na wewe Mwanamme? Una nini hasa cha kunishtua?
7- Endeleza List
"Kwa kawaida watu wakinisimamisha nikiwa natembea huwa sisimami kuwasikiliza, sijui kwanini tu wewe nimekusikiliza.."