Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Naam kama ugonjwa unaambukiza basi huu wa ATC (Any time cancellation) umeashaanza kuambukiza. Sikuamini masikio yangu pale JRO niliposikia kuwa ndege ya KLM nayo imepata mafua ya ATC. Badala ya kuondoka jana saa tatu usiku ndege imeondoka leo asubuhi 12 na nusu. Je ni ugonjwa huu huu unaommaliza ATC? Labda