wanamzaha na mzee wa gombe
Mkuu, Hivi kwa nini wanatuibia Tembo na vifaru wanaliacha hili dude la Gombe?
Kweli Wa-Hasira, nyama ya kuku sili, ila ya Jogoo nakula!
Yeye hakuwa mvumilivu maana ni mmoja wa ma founder wa CDM,alipewa sukari ya ufisadi na Rosti tamu then akasepa,lakini wanae wamegundua kuwa dingi aliiingia cha kike kwa njaa zake!Bila shaka hata mheshimiwa naye ataburudika kwa kuona ni jinsi gani wanae wanavyompa salaam mpya.
Jioni njema nyote.