laiti wote tungelijua nguvu iliyo kenye katuni kwenye suala la kurahisisha uelewa, basi wachora katuni wetu pia wengeletewa 'mwalimu' kutoka nje kama raisi alivyofanya kwa maximo, riadha na netiboli. ...au liko kwenye mpano???
Mbona hakuna gumu hapo? Makamba alikuwa natarajia kuku mzima (JK 80.3%) kaambulia kipapatio (JK 61%)....