Katuni niliyoipenda

iko wapi sasa, mbona haionekani?


Hotlink toka kwenye baadhi ya website hazionekani.
Mwanzo sikuiona, ila nilipo-click QUOTE then BACK ikaonekana.

Usikute ni tatizo la watu tunaotumia FIREFOX? :)

attachment.php
 

Attachments

  • controversial cartoon.jpg
    controversial cartoon.jpg
    37.5 KB · Views: 177
The following cartoon tells it all !!!!
kpleo.jpg

This is the true representation of the civil society at its very basic level !- anakosekana tu mtukuu aliyefia Tabora kwenye disco. Je, serikali ya JK bado ina uhalali wowote wa kuendelea kubaki madarakani ? Natoa hoja JK avunje serikali kisha ajiuzulu tuweze kuendesha uchaguzi mwingine. Hivo ndivyo wanavyofanya wastaarabu duniani kote - ila nchini kwetu kwa kuwa serikali ya CCM haina hata chembe cha ustaarabu, masikini Tanzania !!
 
The following cartoon tells it all !!!!
kpleo.jpg

This is the true representation of the civil society at its very basic level !- anakosekana tu mtukuu aliyefia Tabora kwenye disco. Je, serikali ya JK bado ina uhalali wowote wa kuendelea kubaki madarakani ? Natoa hoja JK avunje serikali kisha ajiuzulu tuweze kuendesha uchaguzi mwingine. Hivo ndivyo wanavyofanya wastaarabu duniani kote - ila nchini kwetu kwa kuwa serikali ya CCM haina hata chembe cha ustaarabu, masikini Tanzania !!


Mag3

Heshima mbele mkuu...hii katuni inaonyesha ubunifu wenye kipaji cha level ya juu sana.

Kweli unaamini JK akisimama kwenye uchaguzi mkuu mpya kesho hatashinda kwa kishindo tena? Mkuu unatujua Watanzania kweli..??!!
 
Mag3
Heshima mbele mkuu...hii katuni inaonyesha ubunifu wenye kipaji cha level ya juu sana.
Kweli unaamini JK akisimama kwenye uchaguzi mkuu mpya kesho hatashinda kwa kishindo tena? Mkuu unatujua Watanzania kweli..??!!

Anaweza akashinda ndio, lakini nina hakika CCM haiwezi tena ikapata idadi ya wabunge kama walio nao sasa - kwa hiyo peke yake tutakuwa tumepiga ka hatua na ujumbe utakuwa umefika.
 
Kweli unaamini JK akisimama kwenye uchaguzi mkuu mpya kesho hatashinda kwa kishindo tena? Mkuu unatujua Watanzania kweli..??!!

Mkulu Yebo Yebo,

Heshima mbele sana, kuna mtu aliwahi kuniambia kuwa either unafanya, unamalizia, au tayari unayo PhD, leo nimekubali kwa sababu haya maneno yako madogo sana, lakini yana darasa kali sana, Bwa! ha! ha! ha! ha! maana ndio exactly political realities zetu bongo,

Respect na Keep It Up mkuu!
 
atashinda kwa kura nyingi kwa sababu kuu mbili 1. Anaopambana nao nje ya ccm siyo strategist wazuri ktk mingoling ya siasa zetu na hasa pale ccm inapokuwa united front against mpuuzi yeyote mbele yao, hofu yangu ni wapainzani kupungua bungeni hilo ninaliona kwa kasi linakuja. 2. Wa-tz tumejaaliwa kutafakari beyond mashaka ya kibinadamu, na kama utapiga kura kwa kufuata mtindo huu basi jk atashinda na wabunge wake maana wapiga kura wasio na jazba kama tarime kamwe hawawezi kumpitisha mpinzani ambaye kwao daima anaonekana ni mtu asiyetayari kuongoza na kutawala zaidi ya kulalama. Ni maoni yangu tu kama mtz na mzingatia wasifu wetu asilia.
 
atashinda kwa kura nyingi kwa sababu kuu mbili 1. Anaopambana nao nje ya ccm siyo strategist wazuri ktk mingoling ya siasa zetu na hasa pale ccm inapokuwa united front against mpuuzi yeyote mbele yao, hofu yangu ni wapainzani kupungua bungeni hilo ninaliona kwa kasi linakuja. 2. Wa-tz tumejaaliwa kutafakari beyond mashaka ya kibinadamu, na kama utapiga kura kwa kufuata mtindo huu basi jk atashinda na wabunge wake maana wapiga kura wasio na jazba kama tarime kamwe hawawezi kumpitisha mpinzani ambaye kwao daima anaonekana ni mtu asiyetayari kuongoza na kutawala zaidi ya kulalama. Ni maoni yangu tu kama mtz na mzingatia wasifu wetu asilia.

Maoni yako ni sahihi kabisa, wapinzani wana safari ndefu ( strategically ) kabla ya kuiong'oa CCM.

Binafsi naamini wapinzani wa kweli watatoka ndani ya CCM yenyewe
 
Maoni yako ni sahihi kabisa, wapinzani wana safari ndefu ( strategically ) kabla ya kuiong'oa CCM.

Binafsi naamini wapinzani wa kweli watatoka ndani ya CCM yenyewe

Ni kweli unachokisema, Nyerere RIP alikuwa na mtazamo huo, na hasa CCM ikivunjika kama inavyoelekea kwa ANC ya SouthAfrica. Wengi tunafikiri EPA na hii migomo kuwa serikali imeshindwa? lakini on the ground hatuna data (reality).
Hata ukiitoa Serikali hii ukaweka upinzani i.e. Chadema, do you think they can perform? Huku Afrika watu tanafanana na tunafanya siasa kama moja ya ajira na si kusaidia jamii. Angalia majirani zetu ambako upinzani umechukua nchi.
chama chochote kikiingia madarakani kitahitaji watu wengi ambao ni commited wa ku push through maendeleo, swali je hao watu ni wangapi nchi hii???
wazo langu ni kuwa badala ya kusubili chaguzi, ambazo hatujui atapita nani! tubadilishe atitude zetu, tuwaonyeshe hawa waliopo kuwa siasa ni ngumu kwa kuwa challenge na kuhakikisha wanafanya kazi tunazowatuma
 
Maoni yako ni sahihi kabisa, wapinzani wana safari ndefu ( strategically ) kabla ya kuiong'oa CCM.

Binafsi naamini wapinzani wa kweli watatoka ndani ya CCM yenyewe

Mkuu Masatu,

Toka CCM, kaanzisha chama chako, kisha wengine tukufuate kwi kwi kwi!!!

Upinzani kama wangelikuwa/watakuwa makini wanaweza kuitikisa CCM kwasasa. Tatizo ninaloliona ni lile la kutokujifunza kutokana na makosa ya nyuma.

Waangalie Wangwe alifanya nini Tarime mpaka hilo jimbo wameweza kuliteka tena kirahisi?
Pia inabidi wasome lile jimbo la Zitto na kule kwa mzee Ndesamburo. Hayo majimbo matatu yanaweza kutengeneza strategy nzima ya CHADEMA kwa ajili ya 2010.

Inatakiwa yale wanayohubiri jukwaani, wayafanye kwa vitendo huko wilayani.

Ukisema CCM ni mafisadi huku na mwenyewe unaishi kama fisadi, inakuwa ngumu sana wananchi kukuamini.
 
Kama serikali ina madeni kila upande na hadi katika family level basis then inatania utawala na kilichobaki ni:

1. kujirudi completely; review of its plans, device mitigation measures which of course should be radical so to be effective to start in a short while.

2. Or to mbeki the country!!! THIS IS A GREAT IDEA! And will restore their trust. Wasisubiri sana. Ila hata wakiachia. Lets think outside the box. Who will be next that has a broadened network starting from kaya level to Magogoni street. Tena hamna. We will be subjecting our country into trials. And which is the most bad thing under the sun. Tanzania is not a vaccine development that we may subject it to trials.

HAPO kwa nani tumpe ndio panapowaumiza serikali and not just a sake of abanoning the country. Lets think all positively and to a little extent outside the box. Ni tabu!! Wachache wanaopiga kelele hawatoshi kuwa viongozi wa nchi hii. Kama uko pamoja nami hatuwezi kuwa na Slaa mjumbe wa kaya zote, Slaa mwenyekiti wa vijiji vyote, Slaa diwani wa location zote, Slaa Mayor wa manispaa zote, Slaa au hata sasa na Kabwe wakuu wa mikoa yote, tena bado wilaya zote, Slaa, Kabwe, Mbowe waziri wa wizara zote. Sasa wote almost CCM and so the Govt ni wachafu/wanadaika kwa ufisadi kwa kiasi kikubwa; na wanaopiga kelele kwa niaba ya wanyonge ni wachache na mbaya zaidi wakikimbilia uongozi ndio mwisho wa wanyonge kupata watetezi na hiyo ni mbaya kuliko.

Ukiangalia sana unaweza ukawa tempted kusema leave nature to take its course! But no we must act!! And act so quickly.
 
Last edited:
atashinda kwa kura nyingi kwa sababu kuu mbili 1. Anaopambana nao nje ya ccm siyo strategist wazuri ktk mingoling ya siasa zetu na hasa pale ccm inapokuwa united front against mpuuzi yeyote mbele yao, hofu yangu ni wapainzani kupungua bungeni hilo ninaliona kwa kasi linakuja.

Kwa mwana CCM upinzani ni upuuzi na mpinzani ni mpuuzi - kalagabaho. Of course nisingetegemea lolote la maana kutoka kwa mkereketwa lakini hii yako inagonga below the belt. Hata hivyo kama uongozi wa CCM, vyombo vya dola, uongozi wa mkoa na wilaya - vyote vilijipanga Tarime kuihakikishia CCM ushindi, kulitokea nini mpaka mpuuzi akaweza kuibuka kidedea? Huu upofu wa kushindwa kusoma alama za nyakati ndio utaipa upinzani ushindi.

2. Wa-tz tumejaaliwa kutafakari beyond mashaka ya kibinadamu, na kama utapiga kura kwa kufuata mtindo huu basi jk atashinda na wabunge wake maana wapiga kura wasio na jazba kama tarime kamwe hawawezi kumpitisha mpinzani ambaye kwao daima anaonekana ni mtu asiyetayari kuongoza na kutawala zaidi ya kulalama. Ni maoni yangu tu kama mtz na mzingatia wasifu wetu asilia.

Hawa ndio wapiga kura wa namna gani ndugu yangu - mbona unakuwa kichekesho? 2010 haiko mbali, tuombe uhai tukutane tena humu ndani, siku njema.
 
hii ni hatari maana nyumba kama hizi idadi yake inazidi kuongezeka kila kukicha.

kpleo.jpg
 
Mkulu Yebo Yebo,

Heshima mbele sana, kuna mtu aliwahi kuniambia kuwa either unafanya, unamalizia, au tayari unayo PhD, leo nimekubali kwa sababu haya maneno yako madogo sana, lakini yana darasa kali sana, Bwa! ha! ha! ha! ha! maana ndio exactly political realities zetu bongo,

Respect na Keep It Up mkuu!

YALISEMWA HAYO HATA KWA ObamA HIVI MMAREKANI YUKO TAYARI KUONGOZWA NA NIGGA KWELI???
 
Nimeona katuni ya Ubwete leo anamuuliza mwanae kwamba; "Penye kufuka moshi...?" na mtoto akajibu kuwa "..ujue moto bado haujawaka". Mtu mwingine akaongeza utani kuwa huyo mtoto angeulizwa swali jingine kuwa, "Ukiona vya elea..?" labda angejibu kuwa "..ujue havijazama". Nadhani hii inaeleza vizuri hali ya Tz kwa sasa.
 
Lazima tukubali kuwa watanzania tumelala. Au to be specific wengi wetu tumelala, kama watu wakiwa na mwamko na kujua what is going on in Tanzania, wakijua chanzo cha hali zao ngumu ni nini, wangefanya kitu kushake up system. Nasubiri sana kuona 2010 itakuwaje, Kama CCM ikirudi na wabunge ni lazima tukubali kuwa sisi ni wajinga, na kama baadhi ya wabunge ambao inajulikana kabisa kuwa ni wezi na mafisadi, na walinzi wa mafisadi wakirudi basi tusikatae tukiitwa wajinga. Tukubali kwa sababu system yetu inaruhusu wezi kuwa viongozi na kuzuia watu safi na wapenda maendeleo kuwa viongozi. Kama wana JF wengine wanavyosema wapinzani bado hawana strategy nzuri za kuboa system mbaya iliyopo, mara kwa mara wanaingia mkenge na kuwaweka mapandikizi kwenye makundi yao, as a result wanajibomoa wenyewe. Kuna mfano mingi tu ya NCCR, TLP ambao walibanwa na bado wamebanwa sana na Umoja wa wanawake. Kwenye ubunge ndio kunaweza kuwa tumaini letu la kuondokana na hali ya sasa.
 
Mwenzenu mimi katuni iliyonivunja mbavu ni hii hapa. Hasa pale ambapo Ramba Ramba alipopigwa kanzu halafu na yule golikipa asiyeongea.

attachment.php
attachment.php

attachment.php


attachment.php
 

Attachments

  • 2.jpg
    2.jpg
    47.4 KB · Views: 111
  • 1c.jpg
    1c.jpg
    56.5 KB · Views: 110
Back
Top Bottom