tembeleh2
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 765
- 165
Haya wana JF nimefanikiwa kuiona katuni iliyo andaliwa na mchoraji mahiri sana (kipanya) ikanifurahisha sana, nikaona sina budi kushare na wana JF mtandaoni ili yapatikane maoni kidogo juu ya uelewa wa zoezi hili muhimu lililoanza siku za karibuni. Je ni kweli katiba haieleweki kwa kiwango hiki????