Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,172
PHP:
Ndiyo ustaarabu wa kikristo huu? Kutukana wenzio hivyo? Mhhh poleni sana, inaoneshwa umeguswa kweli mpaka unapoteza utu wako, inakuwa hakuna tofauti baina yako wewe na mnyama kwa maneno machafu yanayokutoka.
Suala la ukristo linatoka wapi......................kama JK aliiba kura aliiba kura hakuna cha udini hapo kwa mwizi wa haki ya kimsingi ya wapigakura..................................