Ukweli jamani upo pale pale kuwa Mkwere 2010 hakushinda, na dhambi ya wizi daima watz tutaona matokeo yake........
Huu upuuzi kaongelee kanisani, kule ndio kuna muda wa kusikiliza upuuzi kama huu, Alelujaaaa, Amen
Ukweli jamani upo pale pale kuwa Mkwere 2010 hakushinda, na dhambi ya wizi daima watz tutaona matokeo yake........
Huu upuuzi kaongelee kanisani, kule ndio kuna muda wa kusikiliza upuuzi kama huu, Alelujaaaa, Amen
Huu upuuzi kaongelee kanisani, kule ndio kuna muda wa kusikiliza upuuzi kama huu, Alelujaaaa, Amen
Huu upuuzi kaongelee kanisani, kule ndio kuna muda wa kusikiliza upuuzi kama huu, Alelujaaaa, Amen
Huu upuuzi kaongelee kanisani, kule ndio kuna muda wa kusikiliza upuuzi kama huu, Alelujaaaa, Amen
K
Huu upuuzi kaongelee kanisani, kule ndio kuna muda wa kusikiliza upuuzi kama huu, Alelujaaaa, Amen
crap!!
K
Kuna uhusiano gani kwa taarifa za Mkwere kuto kushinda na kwenda kuongelewa Kanisani? Mimi ni Mmoja wa wanaokwenda kanisani. Sijawahi hata siku moja kusikia huko kanisani kukizungumzwa nani kashinda/kashindwa au nai atashinda/atashinda. Kanisani, mwanzo mwisho ni ibada. Sanasana wakati wa mahubiri, mhubiri anaweza kukemea wale wanaoleta hila katika jamii, na lengo ni kuwa na jamii inayo mwogopa na kumwabudu Mungu. Sasa kama wewe umeona kuwa kushindwa kwa mkwere si hoja ya kuzungumziwa jamvini, basi hujui ni wapi inapaswa kuzungumziwa. Maana kanisani (au hata msikitini) kabisa si mahala pake. Jaribu kuongea au kujibu hoja badala ya kupandisha Jazba zisizo tija. Nawasilisha
Mkuu umetisha. Utabiri wako umetimia
Natamani kukwambia neno lakini sioni haja maana ni mie nitaonekana ****....Kama kweli ulizaliwa sio kosa la wazazi ila kosa la aliekuzalisha......Baba ako ni fisadi mama fisadi, wewe pia fisadi, kila kitu kwako fisadi so umezalishwa na mafisadi nyama mkuu wewe...
Ukweli jamani upo pale pale kuwa Mkwere 2010 hakushinda, na dhambi ya wizi daima watz tutaona matokeo yake........
Ukweli jamani upo pale pale kuwa Mkwere 2010 hakushinda, na dhambi ya wizi daima watz tutaona matokeo yake........
Msivyokuwa na haya hata kutaja jina lake mnaona aibu mnataja kabira, ndio kusema ukabila sera ya chama chenu????
na mbona huo ukweli hutuonyeshi??????????