nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
| ||
|
| ||
|
labda alitaka thread ipate wachangiaji wengi.Kutokana na maelezo hayo, title ilitakiwa isomeke "CUF wasogeza mkutano wao", na sio "Katoliki wasogeza mkutano wa CUF"
kama ingekuwa CDM wamekutana na mishe hizi za kanisa basi wangelisema ,watu wa kanisa wametumwa na serikali ikishirikiana na chama tawala.
Ila waungwana wa CUF wamelipisha kanisa lifanye kazi yake bila ya mvutano. Na bila ya shaka yeyote ile hawa mashoga wawili CCM na CDM wamefurahi sana na kupata afuweni maana safari hii CUF wanakuja na mshikemshike wakimix crusader na jihadi kuiondoa CCM na vikaragosi vyake kwenye utawala na kusimika uongozi wa kumkomboa Mtanzania.
Mkuu badilika JF ni upendo.