Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,462
- 21,334
Hili ni ngumu kuamini lakini kazi tulioianzisha naona shuguli yake imeanza
kwa upende wa kawe wapendwa kuna sehemu tulishabikia sana chadema na kufikia
kutoa wake zetu kafara wasipoipigia chadema na hili limeweka heshima kwa wanandoa wengi sana lakini nw tunaona cha moto
ukifika muda wa kuminambili utashangaa sana kuona upande fulani auna kabisa umeme na mwingineuna umeme sasa najiuliza jamaa wa upande wa pili wana laini za mbinguni aama??
Na je iweje iwe kila siku mchezo huo huo kwetu
waziri wa nishati embu tulinde kwa hili;tunajua kazi ilio mbele yako ni ngumu ila ikifika muhanga basi jitoe muhanga kwa watanzania na si wana ccm pekee wana ubungo hili linawakumba??
kwa upende wa kawe wapendwa kuna sehemu tulishabikia sana chadema na kufikia
kutoa wake zetu kafara wasipoipigia chadema na hili limeweka heshima kwa wanandoa wengi sana lakini nw tunaona cha moto
ukifika muda wa kuminambili utashangaa sana kuona upande fulani auna kabisa umeme na mwingineuna umeme sasa najiuliza jamaa wa upande wa pili wana laini za mbinguni aama??
Na je iweje iwe kila siku mchezo huo huo kwetu
waziri wa nishati embu tulinde kwa hili;tunajua kazi ilio mbele yako ni ngumu ila ikifika muhanga basi jitoe muhanga kwa watanzania na si wana ccm pekee wana ubungo hili linawakumba??