Original Pastor
JF-Expert Member
- Nov 14, 2007
- 1,274
- 50
WADAU NAOMBA NIIWEKE HUKU NYINYI MTAAMUA IKAE WAPI?
Siku moja nilikuwa nasafiri kwenda Singida sasa nikapita kijiji kimoja abiria mwenzangu nilikuwa nimekaa nae akaniuonyesha katikati ya Tanzania Kule Dodoma na nikapaona ila mazingira DU! yanachekesha sana kwani hiyo mark iliwekwa enzi za utumwa na ni mark kama "inch "16" tu yaani inashangaza tena kustaajabisha kwani nasikia hata mkuu wa nchi mstaafu aliwahi kwenda pale kukaa barabarani na kupiga picha (kama wadau wanayo iwekeni tumjadili) kwani ilitakiwa kujengwe Bonge la Mnara wa kuonyesha kweli ni Centa ya Tanzania kuliko kukaa hivi tena utakuta wabunge wengi hawajua au wanafanya kusudi pamoja na waziri wao wanafanya makusudi kwani hata kamati ya bunge kuhusu mambo ya mazingira wapo kimya.Je mkuu wa wilaya? Mkuu wa Mkoa? eti sisi abiria ndio tuone.Tena narudi kutoka Singida mtu mmoja akaniambia Hembu ona katikati ya Tanzania tunapadharau kwani panahitaji changamoto ili tuweke mnara. nikasema Du! kumbe kuna watu wanaongea lakini hawajui pa kuongelea kwani mtu anasema mimi nimeshafika mpaka pale ukipanda juu utaona kweli ni tanzania. akaniomba kama naweza kuzungumza sehemu nyingine niende lakini mimi nikamwambia kuna web inaitwa jamiiforums wewe nenda kafungue uelezee kuna wadau watachangia mada hii sasa nimeona jamaa si muelewa sana wa computer nimeona mimi niwafikishie wadau wenzangu ili nanyi muweze kuelewa nini au kitu gani Tanzania kinaendelea kwani kuna mabo mengi yamesahaulika. kwa mfano Zanzibar wao wanarekebisha mambo yote ya kale ndio maana wazungu wanakwenda kuangalia na sisi kwa hili pia wazungu wangeenda kuangalia pato la Taifa lingekuwa hata sisi Wadanganyika tungekuwa updated kuliko ukimya.mfano mtoto wako au wangu atajua Tanzania katikati ni wapi?
KATIKATI YA TANZANIA INADHARAULIKA
Siku moja nilikuwa nasafiri kwenda Singida sasa nikapita kijiji kimoja abiria mwenzangu nilikuwa nimekaa nae akaniuonyesha katikati ya Tanzania Kule Dodoma na nikapaona ila mazingira DU! yanachekesha sana kwani hiyo mark iliwekwa enzi za utumwa na ni mark kama "inch "16" tu yaani inashangaza tena kustaajabisha kwani nasikia hata mkuu wa nchi mstaafu aliwahi kwenda pale kukaa barabarani na kupiga picha (kama wadau wanayo iwekeni tumjadili) kwani ilitakiwa kujengwe Bonge la Mnara wa kuonyesha kweli ni Centa ya Tanzania kuliko kukaa hivi tena utakuta wabunge wengi hawajua au wanafanya kusudi pamoja na waziri wao wanafanya makusudi kwani hata kamati ya bunge kuhusu mambo ya mazingira wapo kimya.Je mkuu wa wilaya? Mkuu wa Mkoa? eti sisi abiria ndio tuone.Tena narudi kutoka Singida mtu mmoja akaniambia Hembu ona katikati ya Tanzania tunapadharau kwani panahitaji changamoto ili tuweke mnara. nikasema Du! kumbe kuna watu wanaongea lakini hawajui pa kuongelea kwani mtu anasema mimi nimeshafika mpaka pale ukipanda juu utaona kweli ni tanzania. akaniomba kama naweza kuzungumza sehemu nyingine niende lakini mimi nikamwambia kuna web inaitwa jamiiforums wewe nenda kafungue uelezee kuna wadau watachangia mada hii sasa nimeona jamaa si muelewa sana wa computer nimeona mimi niwafikishie wadau wenzangu ili nanyi muweze kuelewa nini au kitu gani Tanzania kinaendelea kwani kuna mabo mengi yamesahaulika. kwa mfano Zanzibar wao wanarekebisha mambo yote ya kale ndio maana wazungu wanakwenda kuangalia na sisi kwa hili pia wazungu wangeenda kuangalia pato la Taifa lingekuwa hata sisi Wadanganyika tungekuwa updated kuliko ukimya.mfano mtoto wako au wangu atajua Tanzania katikati ni wapi?