mchakavumlasana
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 389
- 212
- Thread starter
- #21
***** mtu!
:thinking: sijakusoma....
***** mtu!
Hiyo namba 7 hiyo. Enzi hizo kukiwa na baridi unaenda kuoga unanawa mikono, miguu na kichwa, wazazi walipositukia mchezo, ikawa kila nikimaliza kuoga wanaangalia tumbo kama lina hali ya usafi. Nikabadili na kuongeza tendo la kulowanisha tumbo. Tehe tehe tehe, enzi hizo we ziache ziwe hivyo tu.
3,4,5,6, na 7 sijafanya, ila la kikojozi mpk miaka 10 mi nlikua kikojozi, tena wakati mwengine hata nikishighulishwa na michezo basi siwahi fika chooni mara najikojolea kwenye puru.
Kudokoa mpk leo, ha ha heh, bt nadokoa nkipika mwenyewe jikoni
Namba 2,3,4 na 6 sipo kabisaaaaaaaa
No tatu nilikomaa nayo mpaka nikiwa fom tuu,
Na mama alikua anajua kbs bila nguo mpya siku ya sikuuu hata lipikwe pilau sitakula ni kilio mwanzo mwisho,
Mara nyingi walikua wanatununulia alafu yangu wanaificha na kunambia hawakupata zaizi yangu eti kwa vile nilikua mnene hapo ndio nilikua naachia bonge la kilio mpaka wanaitoa na kunikabidhi!!
kwa maelezo haya inaelekea ulikuwa unapenda sana kucheza kwenye mvua wewe.....ukirudi nyumbani umelowa chapaaaaaaa
11. Ulikuwa ukinyonya dole gumba..
This is what i did in my child hood! Mpaka nikawa nawekewa pilipili..
Amyner bana..
Vp shemeji yetu hajambo?
Gee Cee
Neither of the above
Hajambo GC..
Yule nliekuona nae siku ile mzima? Hukunipa hata utambulisho..mh! Btw haukuwa unakimbia shule utotoni wewe?!