Hapa wanamme watoe, maana wao hata kama wana kitu kizuri hawakijali.
Wao miili yao sehemu zote ni equal nadhani
Unamkuta mkaka labda ana kucha au lipsa nzuri tu lakini hazijali
Unakuta lips zimemkauka ukimsogelea unakuwa kama unakiss 'crisp'
Bado du kidogo zivunjike kwachukwachu lol