anonymousafrica
JF-Expert Member
- Aug 24, 2016
- 611
- 639
ye ndo aliyekuumba na anaweza kukufanya chochote kile
Sheria zilizo wekwa.na.binadamu zikivunjwa.na.binadamu huyo.huyo.unataka kusema.hapo n.nguvu ya shetan imehusika??Tafsiri yako ya bandiko langu si sahihi.
Vitendo vya mauaji vinavyofanywa na binadamu, kinyume na sheria za kibinadamu, ni nguvu za shetani (kwa waumini wa dini).
'Crusade' au mauaji ya kimbali, ikiwa ni pamoja na jihad ni kinyume cha sheria za kibinadamu.
Mungu kama muuaji, anahukumiwa kwa sheria zipi! Ni ubishi, uwongo na utoto na wa kijiweni.
Umenielewa vibayaKwahiyo ni haki kuua mwanao sababu umemzaa??
Ugunduzi wa dunia kuzunguka jua umeleta faida nyingi sana katika mambo mengi kama utabiri wa hali ya hewa kurahisisha mawasiliano kwa kutumia satelite hivo usidhani dunia ingebaki vilevile.Kwani nani aliwatuma hao waliojishughurisha kujua dunia inazunguka jua..??..si utashi wao wa kibinaadamu.....hata wasingefanya hivyo ndio ingebadisha kile alichoumba mwenyezi mungu......??. Maisha yangeendelea tuu......
Uache imani za mkumbo utajua ukweli kama hujishughulishi. Ilo neno kufuru ndo huwa linatutia hofu sana ya kujua ukweliMtoa mada, MUNGU si mwanadamu na hajadiliki wala kufikirika, nawashangaa mods wanaiogopa ccm kuliko Mungu, uzi wa kuikosoa ccm unafutwa fasta, lakini uzi wa kishenzi Kama huu wa kumjadili Mungu unaachwa, eti watu wanamchambua Mungu, this is more than crazy.
Tujadili kwa fikra za kimungu??Joshua na Moses ni binadamu. Weka uhusiano wao na Mungu katika vitendo hivyo. Labda kama unachukulia vitendo vyao hivyo, vya uuaji, ni ushahidi wa kumuhukumu Mungu kwa uuaji!
Naomba tuachane na mjadala wa kidini katika mazingira na fikara za kibinadamu.
MKUU YEYE KAZUNGUMZIA UTAFITI KWENYE BIBLIA PEKE YAKE SIO MAANDIKO MATAKATIFU YOTE,KWAHIYO HOJA ULIYOLETA HAINA MASHIKO NA SIO SEHEMU YAKEBiblia ni kitabu cha Mungu! Shetani aliandikwa pale inapohitajika ko utafiti wako uko shallow sana. Na utafiti haufanywi kwenye kitabu kimoja tu.
Huo uwezo sinao labda wewe unifundishe!Tujadili kwa fikra za kimungu??
Kuna Watu walikuwa wanaabudu Mungu Jua na Mungu Mwezi na Nyota.. ila Baada Ya Binadamu kuvichunguza Vikaonekana Si Miungu Ni Nyota Tu Zilizopo kwenye Mzunguko......Mwacheni MUNGU aitwe MUNGU .
Binadamu ya MUNGU hamtoyaweza.
Msipende kuhoji hoji vitu vilivyo nje ya uwezo wenu Wa kawaida Wa kufikiri na utashi .
Mambo mengine ni ya kuyaacha kama yalivyo.
Ova and out
POLE SANA KAMA UNAJIDANGANYA KUA UBATIZO WA WATOTO NI SAHIHIHv unafahamu.kwa.wakristu wanabatizwa??
Hv unajua maana.ya wokovu,na nani anae thibitisha kuwa ww tayar huu mwokovu???
Au unazan kwenda kanisankwa.walokole,kuimba pambio, kusoma.biblia sana basi.ww ndio mwokovu.....??
Wapi wameeandika kuwa kubatiza wtt sio sahihi??
Pamoja.na.iman zenu.ndan kitabu kimoja bado mwajichanga??
Jaribu.soma.kitabu kinaitwa biblia.vizur,sio kile walicho punguza vitabu..no..soma.biblia yote iliyo kamilika na tafuta nn maana ya dhambi ya asili na vipi biblia husema kuhusu kuondolewa hiyo dhambi ya asili
Hapo ndipo utajua smtym huyu mungu mnae mwabudu n.jinsi.gan alivyo mafia ya boko haramu
-kwani wap alipokosea????? naona mnakurupuka 2 pasipo na kumuuliza nini maana yakeNi upumbavu na ukosefu wa maarifa ndio umekufanya kuwa ulivyo
- eti dhambi ya asili!!! hamnaga ki2 kama hichi kama jua na nyota zina undergo cassanova na kwisha iweje kwa sisi binadamu? pia mimea kwa nn inakufa? kwa nn wanyama wanakufa? je ni dhambi yetu ya asili imerithi mpaka kwa wanyama na jua,nyota na mimea? na kama ni ndio thibitisha!!!"RGForever" ni Biblia gani uliyonayo au unasoma!
Mauti ni adhabu aliyopewa Adamu kwa kutokutii amri ya Mungu kwa udanganyifu alioufanya Shetani kwa Hawa.
Kitabu cha Biblia cha "Mwanzo 3:19 - kwa jasho la uso wako utakula chakula, hata utakapoirudia ardhi, ambayo katika hiyo ulitwaliwa; kwa maana u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi".
Hivyo si kweli dai lako kwa kuwa mauti ni dhambi ya asili kutoka kwa binadamu wa kwanza Adamu na Hawa