Wakubwa Msaada tutani tafadhalini...!
Contract ya miaka miwili ninaimaliza 30th ya next month na I don't feel ku-renew. Je nalazimika kutoa notisi ya intent of not going to re-new contract?? Ni muhimu? Siwezi kukaa tuu siku zangu zikaisha nikaondoka kwa sababu ntakuwa siko chini ya mkataba?
Kwenye mkataba kuna phrase inayosema: If an employee wants to renew the contract, s/he should notify the employer atleast three months before expiry of the contract.
Shukurani kwa watakao changia
Contract ya miaka miwili ninaimaliza 30th ya next month na I don't feel ku-renew. Je nalazimika kutoa notisi ya intent of not going to re-new contract?? Ni muhimu? Siwezi kukaa tuu siku zangu zikaisha nikaondoka kwa sababu ntakuwa siko chini ya mkataba?
Kwenye mkataba kuna phrase inayosema: If an employee wants to renew the contract, s/he should notify the employer atleast three months before expiry of the contract.
Shukurani kwa watakao changia