Konakali
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 1,533
- 263
Nipo kwenye daladala kiti cha mbele ambacho huenda kinyumenyume gari likitembea. Mbele yangu kuna mdada nimempenda kama sio kumtamani....! kila nikimrushia macho tunagongana. Kwenye kiti cha nyuma yake yupo mke wangu na ex wangu ambaye mke wangu hakuwahi kujua...! Nimebakiza kama dakika mbili tu tushuke na mke wangu, na ningependa kumjulisha huyu dada kuwa nimemfeel kimapenzi...! Je, njia ipi ni sawia kufikisha ujumbe wangu kwa wakati?