duh, inataka moyo kivipi?wanatoa na roho za watu nini? kama naogopa vile?wewe mambo yako (kifedha) yameshanyooka?
Suala la fedha kwako halitakua shida sababu miradi ipo mingi ambayo unaweza ukawazawadiwa shares. siwezi kusema lolote kuhusu roho za watu sababu kama siku ya imefika basi imefika
mh, ok poa kila la kheri
AH..hata nikifunguka NTAWEZA????????//Hahahahaaa funguka kama mimi hapa
wewe hapo! sijuona huo ustaa unaosifiaKina nani hao tena wanapromote dada zao?