Chum Chang
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 999
- 272
Ukweli na uongo kidogo ila usizidishe
Vyote uongo na ukweli vinatabia vya kubadirika kutoka na utendaji kazi wao
Ukweli na uongo kidogo ila usizidishe
Sidhani kama ukisema uongo unapata kwa kuwa uliyemongopea anajua umemuongopea. Unapata kwakuwa sifa ulizodanganya ndizo anazoziangalia huyo unayemuongopea. Hivyo kinachokufanya upate ni sifa na si uongo, na ndio maana akigundua uliongopa ataondoka.
Tuje kwenye kusema ukweli, kama ukweli wako ni sifa zinazohitajika utapata; lkn kama ukweli ni sifa zisizotakiwa hutapata. Mf. Mimi sitaki mwanaume mlevi au mvuta bangi, ukiniambia wewe mvuta bangi of course nitakwambia kwaheri.
Hivyo basi uongo si kigezo, kigezo ni desired quality in you weather they are real or fake!
UONGO 1.wadada wote wa jf nawapenda naomba mnikubali ninaahidi sinto waumiza mimi nitakuwa barafu wa kupoza mioyo yenu iliyo umizwa na wakaka wasiyojua kupenda.nitafanya mpango soko kariakoo niwape mapato mtagawana. UKWELI 2 .nawapenda lakini sina pa kuwapeleka.kwakuwa namalizia dozi yangu ya kifua kikuu leo ningependa mnikaribishe kwenu ili niwe wenu.kwakuwa ninawapenda nitajitahidi kutafuta kazi ili niwahudumie ila kwa sasa naomba mnihudumie nyie. SWALI KATI YA MUONGO NA MKWELI NANI AMBAE HUFANIKIWA KWA UPESI? Shusha data
kwahiyo kumbe mwanaume anatakiwa awe makini kumsoma mdada kama anapenda kudanganywa au lah!?