Kutokana na ongezeko la wahuni wengi nchini imefika wakati kutafute mfumo wa kuhesabu kura kulingana na hekima za watu. Haiwezekani kura ya kila mtu kuhesabiwa kama ni moja, inabidi ifike wakati tuchambue hekima za watu na uwezo wao kuwe na mtu akipiga kura inahesabiwa na uzito wa kuanzia 5 na mwingine akipiga kura lakini ni muhuni tu basi kura yake tuihesabu kama ni nusu yani 0.5,
kama katiba mpya ikiweka wazi mchakato huu na ukafanyiwa upembuzi yakinifu na kuweka madaraja ya watu na kuingiza katika vitambulisho vyao vya kupigia kura na vya utaifa tutafika wakati Viongozi watakuwa wakichaguliwa kwa maslahi ya taifa na si ushabiki wa wahuni.
KWENYE KATIBA MPYA LAZIMA TUTOFAUTISHE UZITO WA MAAMUZI NA UZITO WA KURA YA KILA MMOJA WA WANANCHI KULINGANA NA HEKIMA NA MAARIFA YAKE LA SIVYO HIPO SIKU WAHUNI NDIO WATATUCHAGULIA RAIS
kama katiba mpya ikiweka wazi mchakato huu na ukafanyiwa upembuzi yakinifu na kuweka madaraja ya watu na kuingiza katika vitambulisho vyao vya kupigia kura na vya utaifa tutafika wakati Viongozi watakuwa wakichaguliwa kwa maslahi ya taifa na si ushabiki wa wahuni.
KWENYE KATIBA MPYA LAZIMA TUTOFAUTISHE UZITO WA MAAMUZI NA UZITO WA KURA YA KILA MMOJA WA WANANCHI KULINGANA NA HEKIMA NA MAARIFA YAKE LA SIVYO HIPO SIKU WAHUNI NDIO WATATUCHAGULIA RAIS