Elections 2010 Katika hili Zitto unakwenda na wakati!!

Asante kwa post yako.

Nampongeza Zito.

Chadema ni lazima ilifanyie kazi suala la kupata matukio ya mikutano ya kampeni. Tukitegemea vyombo vya ccm hatuambulii kitu. Tazama picha za wapinzani anazotela michuzi, ovyooooooo. Afadhali angeacha tu. Linganisha na za ccm anazoleta.

Wiki tatu zilizopita tulilalamika kuwa michuzi haleti habari kwa uwiano sawa wengine wakamtetea. Lakini ukifuatilia habari za kampeni huhitaji kuambiwa kuwa ameegemea kwa upande gani. Kwa hakika yupo mpiga debe wa ccm 99%. Fuatilia habari na picha anazotuma utaona.

Kwa maoni yangu michuzi aache kuleta matukio ya kampeni ya vyama vya upinzani. Aambatane na ccm na Jk wake, kuliko kutuhadaa.
Dopas!
Blog ni ya Michuzi na yeye ndie anayeamua aweke nini na aache nini! Kama yeye anaona CCM ndio wanamlisha unafikiria atawaumbua? Ushauri wangu ni kwa watu wengi kadiri inavyowezekani waanzishe blog ili kuwe na ushindani. Hii itawafanya wale wenye kuegemea ufisadi kama Michuzi wafe kifo cha mende kwani wakikosa watu wa kutembelea blog zao watazifunga. Hapa JF kuna waandishi wa habari wengi tu na wanaweza kuifanya hii kazi ya kummaliza Michuzi.....
 
His greates weakness, his failure to see the diferent point of view. Vision yake inona only one side of view, the right way, and that is his view no any other view. Akitaka kitu, lazima akipate na akigive in, he is wounded, ndio maana aliwahi kuutaka uenyekiti wa Chadema, na ile kauli yake ya kugombea urais 2015 ni kutuma ujumbe kuwa Slaa hapiti, rais ni JK, hivyo anampata tahadhari Dr. Slaa asijaribu mwaka 2015, itakuwa ni zamu yake.
Huyu jamaa tatizo lake jingine ni kwamba anahasira, anahutubia kama anagombana bana! Hata Obama hakuwa hivyo!!:eyeroll2:
 
Blog ni ya Michuzi na yeye ndie anayeamua aweke nini na aache nini! Kama yeye anaona CCM ndio wanamlisha unafikiria atawaumbua? Ushauri wangu ni kwa watu wengi kadiri inavyowezekani waanzishe blog ili kuwe na ushindani. Hii itawafanya wale wenye kuegemea ufisadi wafe kifo cha mende kwani wakikosa watu wa kutembelea blog zao watazifunga.
:violin::violin::violin::violin::violin:
 
Kweli zito anakwenda na wakati, lkn ni wapiga kura wangapi wanapata messages kwa kutumia medium hii? Wangapi katika hao watapiga kura? Wangapi wataipigia chadema? Hata Hivyo Mungu Kibariki Chama cha CHADEMA!
 
On number 4 mark your words. There are so many misconceptions on this issue. I handle it with care. On the other way, it is campaigns. It is about BASE consolidation. Watu waelewe hili kama ulivyosema.

Watu wawe nje ya BOX maana kampeni ni mbinu za kushinda na kama mimi natafuta ushindi wa HESHIMA ie ushindi wa kuonyesha a BASE....!

Got you! DOB: 24 September 1976 . . . . haaa haaa, by 23rd September 2015 you will be 40. Haaa haaa kazi kwa CHADEMA, NEC na Msajili wakati huo. Watakapokuwa wanatoa forms kabla ya 23rd September; sheria inatambua hilo?

Ushindi wa BASE ni kama alionao Dr. Slaa. Tumemwona Bungeni kafanya nini, tumemwona Karatu kafanya nini. Wewe pia records zako ni njema ukilinganisha na Wabunge wengi.

Hakika Tanzania inaweza kubadilika. Iliwezekana USA kwenye ubaguzi wa hali ya juu na ubepari uliotukuka, a simple black man of Kenya origin akaingia White House, itakuwa Tanzania.

CHADEMA Leadership Must build both Technical Team and Political Team. Mnayo Silaha moja kubwa . . . kwa hili nazungumza kwa niaba ya Watanzania Woote: KUUNGANA. Tufikishie Salamu kwa Viongozi wote hasa wa vyama Vikuu: CHADEMA na CUF: Simply unganeni. Hakuna linaloshindikana. Mkianza kuongea sasa 2015 mtaweza. Watanzania Watawaunga Mkono pia. Msipofanya hivyo ushindi ni mgumu sana.

La mwisho, concept ya "Grass Root Movement" ndiyo peke yake inaweza kufanya kazi kwa mfumo wa nchi yetu. Wanatakiwa wabunifu wa hali ya juu, kutengeneza mikakati yake.

Tuko pamoja.
 
Kumbe na wewe unamfagilia Zitto? OMG

Mkuu!!

Siendeshwi na ufuasi wala uadui kwa mwanasiasa wala chama chochote cha siasa, sikuzote ninaendeshwa na msingi wa principle zangu binafsi katika maisha na siasa.
 


Asante Nicky82 kutuwekea hii ya Zitto.


Hiki tunachokishuhudia hapa,
Zitto na Demokrasia , ni moja ya faida kubwa ya exposure aliyonayo Zitto, over and above viongozi wengine wote wa Chadema ndio maana anapiga kampeni Ki Obama Obama.

Kwa vile Zitto namfahamu kwa karibu, kuna uwezekano wa moja kati ya haya mawili, au yote kwa pamoja.

1. Zitto aliyapendekeza haya yote kwa Chadema, na yakapuuzwa, hivyo yeye binafsi ameamua kuendelea nayo.
2. Kuna uwezekano wametofautiana mahali, ndani kwa ndani, hivyo Zitto ameamua kubaki kivyake, na kuondesha kampeni zake kisasa zaidi ndio maana ile siku ya uzxinduzi wa kapeni yao pale Jangwani, nilitegemea kumuona Zitto ni miongoni mwao, laki nin siku hiyo hiyo Zitto naye alikuwa akizindua kampeni jimboni kwake Kigoma.

Na kufuatia kumfahamu Zitto, his biggest strength is his head, brain, he is bright na briliant up stairs na ana amaizing convincing power, yaani ana nguvu kubwa ya ushawishi kufuatia kujua kupanga na kujenga hoja za nguvu.


His greates weakness, his failure to see the diferent point of view. Vision yake inona only one side of view, the right way, and that is his view no any other view. Akitaka kitu, lazima akipate na akigive in, he is wounded, ndio maana aliwahi kuutaka uenyekiti wa Chadema, na ile kauli yake ya kugombea urais 2015 ni kutuma ujumbe kuwa Slaa hapiti, rais ni JK, hivyo anampata tahadhari Dr. Slaa asijaribu mwaka 2015, itakuwa ni zamu yake.


Kwa maoni yangu, that is wrong, angetakiwa kusubiri uchaguzi umekwisha ameshachaguliwa kurudi mjengoni ndipo aanzishe hako kawimbo ka urais, na ikitokea mjengoni asirudi, huo urais wa 2015 atauanzia wapi!. Msicheze na CCM Jamani, japo watu wa Kigoma, nawaaminia, Mlingotini ni cha mtoto!.

Mkuu nimependa post yako. Ni ya ki-intellectual. You objectively analysed a potential leader by looking at both sides. Every life is different, everyone's experiences. Nakuunga mguu. To see someone else's point of view on things educates you to things that may be you are unaware of. Someone else's point of view can also solidify your own point view.

A good leader is the one who listen to others' point of view and reach a compromise. The leader, in order to get willing cooperation, has to look at things from the other person's point of view. He has to see what the other person wants rather than what he himself is interested in.

People, as a rule and by nature, are interested in themselves. Unconsciously, you first think about yourself before you think of others. In a self first. The word most used during any conversation is the single lettered 'I'. When you open a magazine to which you have contributed, you first start reading your own article, although you might already be knowing every word of it by heart. We even do this in our posts here at JF.
 
Footage moja inaonyesha akifungua pochi akitoa takrima kwa wakina mama OMG! Sijui kama TAKUKURU wameiona!

<object width="640" height="385"><param name="movie" value="http://www.youtube.com/v/UnEm4w3owd...&feature=player_embedded&fs=1"></param><param name="allowFullScreen" value="true"></param><param name="allowScriptAccess" value="always"></param><embed src="http://www.youtube.com/v/UnEm4w3owd...xd0d0d0&hl=en_US&feature=player_embedded&fs=1" type="application/x-shockwave-flash" allowfullscreen="true" allowScriptAccess="always" width="640" height="385"></embed></object>
 
Dopas!
Blog ni ya Michuzi na yeye ndie anayeamua aweke nini na aache nini! Kama yeye anaona CCM ndio wanamlisha unafikiria atawaumbua? Ushauri wangu ni kwa watu wengi kadiri inavyowezekani waanzishe blog ili kuwe na ushindani. Hii itawafanya wale wenye kuegemea ufisadi kama Michuzi wafe kifo cha mende kwani wakikosa watu wa kutembelea blog zao watazifunga. Hapa JF kuna waandishi wa habari wengi tu na wanaweza kuifanya hii kazi ya kummaliza Michuzi.....

Mkuu uko sahihi kabisa. Forums like JF are created for discussion between several people while blogs are mainly designed for a single user input, with possibility for other people to comment. So, Blogs are more like a simple homepage where other people may contribute with comments, but one person rules, blog owner, and blog owner can delete any comment he/she doesn't like. While, in forums, there could be thousands of people posting topic messages and also adding comments, though I have seen here at JF topics being deleted, closed, or quickly being moved from public to privilege access without any justified reason.

So in JF forums where everyone is (supposed to be) at equal level, milling about and discussing with others, Michuzi Blog is like a keynote speech where the blogger (Michuzi) is in control of the discussion, but allows questions and comments from the audience. I put "supposed to be" in brackets because nishaona watu wakilalamika hapa eti wamevamiwa. The only thing which annoys me about Michuzi Blog is why he calls it BLOGU YA JAMII?

Ushauri wako kuwa watu wengi kadiri inavyowezekani waanzishe blog ili kuwe na ushindani ni mzuri. Tayari zipo blogu nyingi tuu. Lakini hakuna cha muhimu kinachoandikwa humu au wanakopi kwa Michuzi Blog. Hata JF inakopi picha na video kwa Michuzi. That is a big problem.

Kama alivyosema Michuzi mwenyewe kwenye mahojiano na tovuti ya Bongocelebrity:

"Mtu kuanzisha blog bila kuwa na lengo mahususi la kufanya hivyo. Mtu anakurupuka kuanzisha blog na kutaka kuwa kama BongoCelebrity ama Michuzi kwa usiku mmoja. Hajui ama kasahau kwamba wenzie sio tu wameanza muda mrefu na wameumia sana kufika hapo walipo kwa kazi za usiku na mchana.... Hivyo utakuta mtu asiye na malengo anadhani blog ni habari za kila siku tu, kwa vile Michuzi na wenzie wanafanya hivyo na kupata wasomaji kibao. Anasahau kuwa wakina Michuzi ni wanahabari wenye vibali vya kuingia kila mahali na kusaka habari."

Michuzi anaweza akawa anasema ukweli au uongo but there is a truth along the lines.
 
kaka umejitahidi na hasa baada ya kuiga some styles za kikwete kuwa more socialized hongera, ila siwaige hao wenzio kufanya siasa za maji taka

Hawa ndio wale wanaoharibu mada. Kama huna point kwa nini usinyamaze? Superman yuko right. Vyama vya upinzani havina cordination yoyote. Wakati mwingine inabidi tuwe honest tuangalie vitu objectively. Information kuhusu kampeni za Zito zinapatikana zaidi kuliko za Dr Slaa. Tokea aongee pale Jagwani sijamsikia Mbowe tena. Inawezekana yuko very active kwenye kampeni but where can we get the information about what he is doing and where? Media nayo inachangia lakini upinzani need to find a way around this. Kama wangekuwa angalao na portal ya pamoja wanaweka updates za kamapeni as the come in ingekuwa much better. Mimi sitoki kigoma na wala sitampigia kura Zito kabwe. Lakini nitafuta habari za chadema hata kwenye YouTube, ambayo CCM haina influence yoyote, napata za Zito Kabwe tuu. Za CCM ndio usisema. CUF ndio kabisa hakuna kitu.
 
Huyu jamaa tatizo lake jingine ni kwamba anahasira, anahutubia kama anagombana bana! Hata Obama hakuwa hivyo!!:eyeroll2:

Nimenotice kwenye baadhi ya video clips zake. Inatakiwa awe assertive, sio hasira.
 
Got you! DOB: 24 September 1976 . . . . haaa haaa, by 23rd September 2015 you will be 40. Haaa haaa kazi kwa CHADEMA, NEC na Msajili wakati huo. Watakapokuwa wanatoa forms kabla ya 23rd September; sheria inatambua hilo?

Ushindi wa BASE ni kama alionao Dr. Slaa. Tumemwona Bungeni kafanya nini, tumemwona Karatu kafanya nini. Wewe pia records zako ni njema ukilinganisha na Wabunge wengi.

Hakika Tanzania inaweza kubadilika. Iliwezekana USA kwenye ubaguzi wa hali ya juu na ubepari uliotukuka, a simple black man of Kenya origin akaingia White House, itakuwa Tanzania.

CHADEMA Leadership Must build both Technical Team and Political Team. Mnayo Silaha moja kubwa . . . kwa hili nazungumza kwa niaba ya Watanzania Woote: KUUNGANA. Tufikishie Salamu kwa Viongozi wote hasa wa vyama Vikuu: CHADEMA na CUF: Simply unganeni. Hakuna linaloshindikana. Mkianza kuongea sasa 2015 mtaweza. Watanzania Watawaunga Mkono pia. Msipofanya hivyo ushindi ni mgumu sana.

La mwisho, concept ya "Grass Root Movement" ndiyo peke yake inaweza kufanya kazi kwa mfumo wa nchi yetu. Wanatakiwa wabunifu wa hali ya juu, kutengeneza mikakati yake.

Tuko pamoja.

Nakubaliana na wewe Tanzania inaweza kubadilika. But mkuu that is not easy. The fact kuwa iliwezekana USA haina maana itawezekana kirahisi hivyo Tanzania. USA na Tanzania ni nchi mbili tofauti with completely different circumstances. Hata hivyo kazi kubwa sana ilifanyika USA. Pia wapiga kura wa USA ni tofauti kabisa na wale wa hapa Tanzania. Watanzania kwanza ni waoga na ni wagumu sana kubadilika. Wapinzani must do hard work to address these. Ndio maana unaikubali concept ya "Grass Root Movement"

Issue nyingine basically wapiga kura was USA walikuwa na options mbili tuu. Those who wanted status quo ibaki had the Republic; those who wanted change had the Democrat. Tanzania tuna CCM kwa wale wanaotaka status quo iendelee kutawala. Those who want change yaani upinzani have more options to choose from: CUF, CHADEMA, TLP, NCCR Mageuzi, just to mention the few. Hapo ndipo sio tuu kura zinapotea but also inacreate even more unforeseable problems. Lini upinzani will recognise this obvious thing, I dont know.

It takes time kumwandaa mgombea urais. Same happened kwa akina Obama na Cameron. Realistically, how can you pick someone in July and expect him to win a presidential election in October? Anaweza kweli kufanya Grass Root Movement ndani ya miezi mitatu?. Kwa mfano ilimchukuwa David Cameron miaka mitano kuwa UK prime minister. Kwenye hiyo miaka mitano alikuwa anaandaliwa kuwa the next prime minister. Alikuwa anafanya grass root movements. Sisemi kuwa Dr Slaa sio mchapakazi. That is not my point. Because sidhani kama Obama na Cameron wangeshinda kama wangejulikana within three months kabla ya uchaguzi kuwa watakuwa wagombea. Hata hizi tuhuma za kuiba mke wa mtu zisingejitokeza wakati wa kampeni kama Dr Slaa angekuwa ameandaliwa mapema.

People need to get used to someone as a next potential president. Sawa, he was probably the best MP, but urais ni kitu kingine tofauti. The fact that you were the best MP does not make you the best president and vice versa.

Wakuu the race for the presidency is a difficult one with many steps. nafikiri mmeona yaliyojiri Australia few weeks ago. Becoming a presidential candidate especially for the opposition takes preparation, planning, financial resources and dedication. You also need to build relationships with people who will support you throughout your candidacy. This is what as Superman mentioned "Grass Root Movement". But the bare fact is you cannot do this in three months.

Make an official announcement that you intend to run for President at least five years. This is usually done strategically. So Zitto Kabwe may be right. No need to wait until siku ya kwenda kuchukua fomu NEC. Recruit volunteers to help you with polling, making telephone calls, contacts and overall drumming up of support for you all over the country especially vijijini. Use both the old and the new strategies to spread the message as early as possible. All these are done even before registering with NEC.

Kuna mtu anayemjua campaign manager manager wa Dr Slaa or chadema responsible for helping him/chadema get the word out about his campaign through a variety of sources?
 
Wadau nimetembelea blogu ya Zitto Kabwe na kufurahishwa na jinsi Kampeni zake zinavyoendelea kule Jimboni kwao. Haya ndo mambo ambayo CHADEMA nzima walipaswa kuyafanya. Jambo ambalo inambidi Zitto afanye sasa ni kushare experience hii pamoja na mkurugenzi wake wa habari wa chama.
Kwa Tanzania yetu, hii inaweza kuwa ndio 21st Century campains.
Habari iko kwenye link hii.
Zitto na Demokrasia

Good looking out son, yaani unatupeleka bongo kwenye kampeni kabisa, kuachana na longolongo za waandishi wa habari na washabiki, hapa tunapata video inayoonyesha mtu alisema nini kitu na boksi.
 
This guy is anti-business!
He has personal hatred for the foreign investors.
CCM has a better plan to achieve what India has been able to achieve in a few years. Vote CCM and the dream that every Tanzanian has will be realized soon. Chadema and CUF are fear mongerers and full of dumb policies that perpetuate Xenophobia.
Vote CCM.
Long live JK
 
This guy is anti-business!
He has personal hatred for the foreign investors.
CCM has a better plan to achieve what India has been able to achieve in a few years. Vote CCM and the dream that every Tanzanian has will be realized soon. Chadema and CUF are fear mongerers and full of dumb policies that perpetuate Xenophobia.
Vote CCM.

Long live JK

What plans are you talking about?? That of stealing our money, and involve in corrupt deals?? you're kidding bro!
What foreign investors??? those corrupt Indians. Sio lazima muwekeze hapa tu.
 
Back
Top Bottom