Nicky82
JF-Expert Member
- Mar 14, 2009
- 941
- 64
Wadau nimetembelea blogu ya Zitto Kabwe na kufurahishwa na jinsi Kampeni zake zinavyoendelea kule Jimboni kwao. Haya ndo mambo ambayo CHADEMA nzima walipaswa kuyafanya. Jambo ambalo inambidi Zitto afanye sasa ni kushare experience hii pamoja na mkurugenzi wake wa habari wa chama.
Kwa Tanzania yetu, hii inaweza kuwa ndio 21st Century campains.
Habari iko kwenye link hii.
Zitto na Demokrasia
Kwa Tanzania yetu, hii inaweza kuwa ndio 21st Century campains.
Habari iko kwenye link hii.
Zitto na Demokrasia