Sitachoka
JF-Expert Member
- Nov 17, 2011
- 3,030
- 1,303
Tuna wabunge takribani 300 na
ushee na 80% ya wabunge hawa hawana umuhimu kwa
wananchi wao, Leo unatuongezea
wengine huku unalia kila siku serikali haina fedha,
Tunahitaji baraza jipya la mawaziri siyo
wabunge wapya japo tunatambua wengi
si wasafi.
ushee na 80% ya wabunge hawa hawana umuhimu kwa
wananchi wao, Leo unatuongezea
wengine huku unalia kila siku serikali haina fedha,
Tunahitaji baraza jipya la mawaziri siyo
wabunge wapya japo tunatambua wengi
si wasafi.