Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chama cha ccm kimefunga kampeni ya uchaguzi mdogo wa udiwani kata ya lizaboni songea na wananchi wanaimani kubwa na chama cha ccm kwa maendeleo yao kwenye mkutano watu nyomiiiiiii
mawazo gani tena mkuuLaana hii itaisha mpaka watakapo tubu kws Tido Mhando , haya hayawezi kuwa makosa yanayotokana na bajeti ndogo wanayodai serikali hutenga.TBC hata watamgazaji hutangaza wakiwa mawazo kinabao
Mitambo inazidi kugoma. Tunaoneshwa bagamoyo baada kumaliza ususi wa yeboyebo.Mungu wetu yu upande wa CDM
wamemaliza
Walitangaza mwishoni mwa taarifa ya habari....................ya saa mbili...........lakini hamna kitu. Nyie TBC ni wapuuzi kwa nini muudanganye umma si mgeshutukiza.........na ole wenu msiombe radhi..........na inawezekana umezuiwa ghafla......ombeni radhi vinginevyo mtadhaurauliwa sana nyie na watoto wenu..............hamtakuwa na maana yoyote katika historia ya nchi hiii. Aibu sana.Wewe sijui Bwigane, Ahmed salum, kingarame, Mhando na wengineo........hamna maana kabisa na ni aibu kuitwa vijana wa Tanzania. Ni vyema baada ya muda mliouahidi kufika na mkaona hamtaweza tena Mgetutaarifu walau mtudanganye kuwa imekuwa nje ya uwezo wenu au sababu zisizozuilika.........
Maskini CCM na TBC, ati wanadai hawajapata taarifa kamili.
Kuna jamaa wa TBC kanidokeza hapa kuwa wamekatazwa kurusha shuhuli ya leo ya CCM kwani watu wamegoma kwenda ilikua ni aibu tupu.