Kuna taarifa imetolewa na watu walio karibu na Katibu wa Mkoa wa Morogoro CDM Mh. Luanda, kuwa leo atafanya Press na waandishi wa Habari mjini Morogoro kutoa taarifa ya sababu za kujiuzuru kwake. Tayari ameshafikisha barua yake kwa Katibu Mkuu Dr. Slaa aliyeko Morogoro kwenye oparesheni ya M4C. Nakala ameshambaza kwa Makatibu wote wa wilaya. Habari zilizohibitishwa ni kwamba hayupo kwenye oparesheni tangu kuanza kwa M4C mkoani hapa japo amekuwa akionekana kwenye ofisi za mkoa.