zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Ni wewe tu mwenye akili za mbayuwayu ndie unayejua kuwa madaktari wanalipwa watanzania wanajua madaktari wandai haki zao na ni haki yao ya kikatiba
Haki yao ipi wanaodai ambavyo wamekataliwa? unadai haki kwa kuwaweka rehani wagonjwa, huna mwanao anaeumwa na kwenda Muhimbili ndiyo maana unasema hayo.